Nitawezaje kufanya biashara bila mke kujua?

Kwanini uteseke na mtu ambae mmefahamiana ukubwani tuu . Ingekuepo ni Mimi ningempiga chini directly nao mwingine au oa mke wa pili. Atakufanya ufe ukiwa masikini
 
Tuachane na swala la biashara kwanza. Huyo mke mlikutana nae vipi?

Late marriage is better than a bad marriage.
 
Huwezi kumficha mkeo Kila kitu ...

Cha muhimu Kama mwanaume
Kuwa na kauli za ki meja ndani ya nyumba...

Baba kasema....
Ova
Baba kasema....

Ukiweza hivyo
Hata remote ya TV iwe mezani hawata badili channel
Watasubiri mpaka
Baba aseme ...
Kwa mtindo huu Siku zako zinahesabika ujue!!
Hatutakuona humu tena.

Kukata maneno ili uishi kwa uhuru oa tajiri saaana. Utakuwa na amani.
 
Ndoa inakufanya uishi kama unauza Cocaine....

Mkuu kama umejiridhisha kuwa NDOA inakurudisha nyuma kimaendeleo au haikupi Furaha.. hakuna haja ya kuteseka kwa kitu ulichokichagua mwenyewe.

Hakuna mkubwa kwenye familia ya mwanaume zaidi ya yeye,, Jitahidi TAKA yako ndio iwe taka,, za wengine Takataka.(Ukitaka kitu, kinachofuata iwe utekelezaji).
 
Umfiche ili iweje?
Fungua biashara na umchimbe mkwara kuwa hutaki kumuona karibu na hizo biashara, akae nyumbani atulie au afanye shughuli zake.
Wanaume wengine mnakwama vipi? Seems like unamuogopa mke wako loh
 
Umesoma uzi au ni ili mradi tuu uwe wa kwanza kutoa comment.
Yupo sahihi kabisa.akifungua kampuni itamsaidia pindi mke akijua ni rahisi kumdanganya kuwa yeye pale ana tu ji hisa tudogo coz kampuni inakuwa na wakurugenzi wengi including shadow directors. So ni rahisi kujificha chini ya mwanvuri wa director kivuri.
 
mgeuze mkeo awe rafiki yako ndipo usnze kumbadilisha polepole,kumbuka mkeo sio adui yako ni mwenza wako,rafiki yako,mwandanibwako na msiri wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…