ADAM SMITH
Member
- Apr 8, 2014
- 81
- 23
nenda bank ya crdb,tawi lililo karibu .huwa crdb ni mawakala wa Dar stock exchangehabari wakuu, mimi nipo mkoani na nina mpango wa kununua Hisa sa kampuni mojawapo iliyosajiliwa dse, tafadhari anayejua mchakato wake, anijuze
asante mkuu, ntaenda waona crdbnenda bank ya crdb,tawi lililo karibu .huwa crdb ni mawakala wa Dar stock exchange
Aisee kama issue huijui sio lazima u comment! Tangu lini CRDB wakawa wakala wa DSE?? CRDB ni moja tu ya makampuni yaliyoorodhesha hiza pale DSE ili ziuzwe! Acha kabisa kumpotosha jamaa.nenda bank ya crdb,tawi lililo karibu .huwa crdb ni mawakala wa Dar stock exchange
Aisee kama issue huijui sio lazima u comment! Tangu lini CRDB wakawa wakala wa DSE?? CRDB ni moja tu ya makampuni yaliyoorodhesha hiza pale DSE ili ziuzwe! Acha kabisa kumpotosha jamaa.
Ili kununua hisa, ni lazima kununua kutoka kwa wakala. Wakala wanao fanya kazi na DSE nadhani wako saba tu hadi sasa. Baadhi yao ni Tanzania Securities na orbit ambao wako pale posta jengo la IPS froo ya saba!
Lakini jamaa anaweza kwenda moja kwa moja DSE pale atapewa listi nzima ya mawakala na atachagua wakala anaye mtaka ili kununua hisa za Kampuni yoyote ile.
DSE wako posta jengo la GOLDEN TOWEL floo 14!
CRDB ni wakala wa baadhi ya kampuni chache zilizo sajiliwa na DSE. Ukitaka kununua hisa kwa uchaguzi wako kutokana na jinsi kampuni inavyo lipa gawio (dividends) vizuri na vigezo vingine vya kibiashara, wasiliana na Stock brokers hata kwa simu. Brokers no kama CORE securities ltd, Solomon stock brokers Ltd, Orbit Securities zipo nyingi Google kupata contacts zao.
CRDB ni wakala wa baadhi ya kampuni chache zilizo sajiliwa na DSE. Ukitaka kununua hisa kwa uchaguzi wako kutokana na jinsi kampuni inavyo lipa gawio (dividends) vizuri na vigezo vingine vya kibiashara, wasiliana na Stock brokers hata kwa simu. Brokers no kama CORE securities ltd, Solomon stock brokers Ltd, Orbit Securities zipo nyingi Google kupata contacts zao.
crdb ni wakala wa soko la dse kwa hiyo unaweza kwenda tawi lolote la crdb na utaweza kununua au kuuza hisa ya kampuni yoyote iliyoko pale dse. nasema kama staff wa crdb
CRDB ni wakala wa dse akifanya kazi na Solomon stockbrokers, nenda crdb utapata msaada.
sasa mkuu the game mbona umeni attack tena? hiyo siyo professional behavior or ethic.kwahiyo ni lazima pia uwe na uelewa mpana sio kumeza tu mkuu. CRDB ni mtoa ushauri pia na sometimes unaweza nenda kwao kupata huduma kama wakala wa DSE.kwani hisa za swala zilikuwa zinauzwa wapi?au watu walikuwa wanapanga foleni DSE?Aisee kama issue huijui sio lazima u comment! Tangu lini CRDB wakawa wakala wa DSE?? CRDB ni moja tu ya makampuni yaliyoorodhesha hiza pale DSE ili ziuzwe! Acha kabisa kumpotosha jamaa.
Ili kununua hisa, ni lazima kununua kutoka kwa wakala. Wakala wanao fanya kazi na DSE nadhani wako saba tu hadi sasa. Baadhi yao ni Tanzania Securities na orbit ambao wako pale posta jengo la IPS froo ya saba!
Lakini jamaa anaweza kwenda moja kwa moja DSE pale atapewa listi nzima ya mawakala na atachagua wakala anaye mtaka ili kununua hisa za Kampuni yoyote ile.
DSE wako posta jengo la GOLDEN TOWEL floo 14!