ntita
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 513
- 285
Mimi ni kijana wa kiume, nina umri wa miaka 22, natoka ktk familia ya kawaida ya kitanzania, ninasoma kdt cha 6 mchepuo wa PCM. Ninatamani sana kusoma kozi ya 'aeronautics'.
Nilifuatilia kozi hii airport dar terminal 1 na kukuta inatolewa kwa ngazi ya certificate na diploma tu na gharama yake ni tshs. 3m kwa mwaka,gharama ambayo siwezi kuimudu.
Nilifuatilia pia kwenye scholarship za Algeria na nilikuta ni kozi mojawapo ila tatizo ni kwamba sisi tuna hati hati ya kwenda jeshini mara tu tutakapomaliza mtihani wa taifa, na hivyo scholarship zinaweza kunikuta jeshini hivyo nikachelewa ku-aply.
Kwa kutambua kuwa wana jf ni waelewa wa mambo, ninaomba msaada kwa yeyote anayefahamu namna ninavyoweza kupata fursa ya kusoma kozi hii, ikiwa ni pamoja na namna ya kupata ufadhili kama upo.
Naombeni sana msaada wenu kwani kozi hii naitamani sana na nina imani kubwa kuwa nitafanya vizuri.
Nilifuatilia kozi hii airport dar terminal 1 na kukuta inatolewa kwa ngazi ya certificate na diploma tu na gharama yake ni tshs. 3m kwa mwaka,gharama ambayo siwezi kuimudu.
Nilifuatilia pia kwenye scholarship za Algeria na nilikuta ni kozi mojawapo ila tatizo ni kwamba sisi tuna hati hati ya kwenda jeshini mara tu tutakapomaliza mtihani wa taifa, na hivyo scholarship zinaweza kunikuta jeshini hivyo nikachelewa ku-aply.
Kwa kutambua kuwa wana jf ni waelewa wa mambo, ninaomba msaada kwa yeyote anayefahamu namna ninavyoweza kupata fursa ya kusoma kozi hii, ikiwa ni pamoja na namna ya kupata ufadhili kama upo.
Naombeni sana msaada wenu kwani kozi hii naitamani sana na nina imani kubwa kuwa nitafanya vizuri.