majitta one
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 204
- 14
Wakuu napenda kuelekezwa ni namna gani ya kutuma maombi tcu ili kuweza pata chuo pamoja na mkopo. nina diploma ya mechanical engineering na napenda kuwa mwl. ktk masomo ya science coz nina gpa ya 3.6 vp naweza pata chuo na mkopo ktk bsc. education?
kiroho safi tu.
kiroho safi tu.