majitta one
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 204
- 14
WAKUU NAPENDA KUELEKEZWA NI NAMNA GANI YA KUTUMA MAOMBI TCU ILI KUWEZA PATA CHUO PAMOJA NA MKOPO. NINA DIPLOMA YA MECHANICAL ENGINEERING NA NAPENDA KUWA MWL. KTK MASOMO YA SCIENCE COZ NINA GPA YA 3.6 VP NAWEZA PATA CHUO NA MKOPO KTK Bsc. Education?
kiroho safi tu.
ahsante mkuu. pia kuna fununu kwamba kwa wale tulio na diploma na tumekaa miaka mitatu bila kuomba ni kuwa hatuna sifa ya kupewa mkopo na BODI YA MIKIPO coz wanaamini kuwa tuna kazi na tunaweza jilipia gharama zote. je hii ikweli wake ni upi?
Wakuu napenda kuelekezwa ni namna gani ya kutuma maombi tcu ili kuweza pata chuo pamoja na mkopo. nina diploma ya mechanical engineering na napenda kuwa mwl. ktk masomo ya science coz nina gpa ya 3.6 vp naweza pata chuo na mkopo ktk bsc. education?
kiroho safi tu.