Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Kwa yeyote mwenye taarifa,
Wakuu naomba kuelekezwa nikitaka kuwa agent wa kuuza matrekta huku vijijini (mikoa ya Shinyanga na Simiyu) natakiwa kuanzia wapi? Sasa hivi kuna mwamko wa wakulima kununua matrekta (angalau kwa mkopo). Sasa nikitaka niingie ubia na hawa wauzaji wakubwa wa matrekta na zana zingine za kilimo (ambao wengi wameweka makao ya mijini) naanzia wapi?
Wakuu naomba kuelekezwa nikitaka kuwa agent wa kuuza matrekta huku vijijini (mikoa ya Shinyanga na Simiyu) natakiwa kuanzia wapi? Sasa hivi kuna mwamko wa wakulima kununua matrekta (angalau kwa mkopo). Sasa nikitaka niingie ubia na hawa wauzaji wakubwa wa matrekta na zana zingine za kilimo (ambao wengi wameweka makao ya mijini) naanzia wapi?