Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Mkuu heshima yako, wape watu vidonge vyaaoo. Tumekuwa waroho mnooo, hatupitwi na kitu jamani? aghh!
ati tumeweka kuwa ni sifa
hatujijui kuwa twafa
Umalaya nayo kazi, kama dobi na mpishi
Umefanyika toka enzi, kufanya watu waishi
Umesaidia vizazi, tuachilie ubishi
Na umesomesha wengi, hivi sasa ni mabosi.
Ni kweli ninakubali, kimaadili ni sumu,
lakini tuseme kweli, kwa wengi kazi muhimu
Kipato cha kwelikweli, wenye maisha magumu
Serikali ihalalishe, kufanya ajira rasmi