Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
-
- #61
Wewe kuna mpaka bitcoin futures na zipo traded NYSE halafu eti unasema sio halali?FOREX NAKUBALIANA NA WEWE 100% KUWA NI BIASHARA HALALI ILA BITCOIN NOOO!
Haya ni mawazo yako Chief..Hakuna hela za urahisi namna hiyo fanyabiashara na fanyakazi upate hela mambo mengine ni kupoteza muda
Nlijua ushatajirika?? endelea kupambana mkuuUsd 3,000
Yaani inakuwa kamari kwa sababu huifahamu?Acha blah blah
Fanya kazi kwa mikono,jenga vitu uza...hizi shortcuts za Financial Markets ni kamari kama zilivyo kamari zingine
Forex ndio kabisaaaa
Heri Bitcoin
Najua umeridhika kwa sababu namba hizo ni ndogo.. nlitaka japo ufurahiNlijua ushatajirika?? endelea kupambana mkuu
Bitcoin ni uwekezaji mzuri uwa najuta kwakuwa ni fursa iliyonipita aisee ila nitanunua kadhaa this time aroundHumu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.
Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.
Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.
Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.
View attachment 1652679
Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?
Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..
Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.
Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.
Hivo yani.
Soma uzi wangu uuelewe.. unatoka nje mada mkuu.. rudia maudhui ya uzi.. vinginevyo unajivunjia heshima yako hapa jukwaani..Kwanini wanaokataa usiachane nao wewe ukaendelea kupiga hayo mahela?
It is really funny
mtu ashakuambia yeye hataki hizo maneno,cha ajabu unafungua nyuzi zaidi ya maelfu kumng'ang'aniza eti yeye ni fala anaacha kuchukua fursa awe tajiri kama wewe
Kama unapata hela sana,halafu jitu halitaki kuona au kushiriki,achana nalo na uzi usiweke hapa kabisa maana kama hawataki utajiri wewe unawasumbulia nini?
Ujue nyie watu ni very conflicted yaani
Kwanini usiwaache hawa wasiotaka chochote with you?
Achana nao,tena usiweke uzi wa kuwaonesha eti they are losing out wakati hawataki to begin with.
Ulishawaambia,wakakataa,kwanini usiachane nao waje waone tu wewe unakua Bill Gates wakikuuliza uwaambie si niliwaambia JF hamkusikia
Hufanyi hivyo unafurukutwa kila siku kuwaambia wasichotaka,na kama kina faida sana kingejiuza
Nigga,there is something wrong with you Forex people,very very wrong!
Wapi nimelazimisha jamani?? Someni uzi muelewe.. kuna mahali nimesema ni lazima???Elimu hailazimishwi kufundishwa mkuu hasa hzi financial education unless otherwise uwe na agenda zengine za kimasrahi binafsi...
Naona kabsa kama unatoa elimu ya uhamasishaji ktu ambacho kinaweza kikamuangamiza mtu/mali zake....
Acha mtu awe na inner force yeye mwenyewe ya kujifunza hayo mambo....
Wapi imeharamishwa?? Unazungumzia muktadha upi???Biashara haramu tujiepushe nazo kaka zangu
Zipo cryptos nyingi.. hizi altcoins ndo sahiv watu wanazimulika..Bitcoin ni uwekezaji mzuri uwa najuta kwakuwa ni fursa iliyonipita aisee ila nitanunua kadhaa this time around
Kuna mengi huyafahamu.. Kwani kazi za financial markets ni nini?Hapana
Mimi nilifundishwa na wazazi wangu kwamba ukitaka kua tajiri na ukafanikiwa maishani na ukawa na furaha,jenga vitu kwa mikono na ubunifu wako ukatafuta wateja wakawauzia ukapata kipato ukaendesha kampuni yako ikafanikiwa..
Nilipofika shuleni,walimu na maprofessors wangu waliniambia fanya innovation,design,jenga,tafuta wateja uza pata fedha,tumia kwa uangalifu,flip again,maximize tena tena....
Hela za kwenda Bitcoin sizipati hewani,nazipata kwa kuendesha biashara yangu kwanza nipate hela ndio nije huko
Kuja huko bila kua na real business ni wizi,hatuwezi jenga taifa la kuuza bitcoins na forex tu,lazima tuzalishe kwa mikono,tushike tope,tugundue viwanda tutoe bidhaa tuuze kwa wateja,sio hizo blah blah
Na vitabu,siomi vitabu vya motvational speakers...nasoma real people with real experiences na hivi vya eti hatua 5 za kufanikiwa,and other blah blah
Wapi nimetoa Siri, mbona unajishtukia mkuu.. soma uzi wangu vizuri.. tatizo unajua kuandika sana .. ila unaongea pumba sana.Unalazimisha
Watu wamekataa,achana nao,wewe kapige hela Uwe Bill Gates uje waambie si niliwaambia!
Wewe hufanyi hivyo,unafungua uzi zaidi ya Elfu Moja kuongea yale yale,shida ni kua unataka Watu for your own benefit kwenye chain za Forex hizo
Watu ndio commodity kwako,wala hakuna lolote hapo eti unawapenda watu sana eti unawapa SIRI,..nothing
sasa hivi bei yake inaendaje nataka ya kununua halafu nisahau kwa miakaZipo cryptos nyingi.. hizi altcoins ndo sahiv watu wanazimulika..
Wapi nimesema napenda watu wafanikiwe? Usinilishe maneno ambayo sijasema.Braza
Unasema unapenda sana watu wafanikiwe,wafate unachowaza kichwani mwako wewe
Watu washakataa,kwanini usiachane nao wewe ukaendelea kupiga hizo hela siku tukakuona Forbes ukaja kutuambia niliwaambia guys?
Ila unashindwa unarudi hapa kila siku na uzi mpya kutaka watu..
The fact is,hupendi watu kama unajinasibu hapa eti unasaidia watu wawe matajiri,no,unataka watu ndio mtaji wako waingine kwenye Forex through you au training or some shit like that..
Shida hapa ni watu wanatakiwa na sio eti kwamba unapenda sana wanadamu unataka kuwapa SIRI kubwa sana ya kua matajiri of which binafsi sio tajiri to begin with
Kua tajiri kwanza wewe tukuone,lets say,attach bank statement yako hapa tuione,na tukubaliane,tajiri tuanzie kiwango kama cha 100mil TZS kwenda mbele,chini ya hapo usi-attach
Haya twende kazi!
Very primitive Ideas..Hapana
Mimi nilifundishwa na wazazi wangu kwamba ukitaka kua tajiri na ukafanikiwa maishani na ukawa na furaha,jenga vitu kwa mikono na ubunifu wako ukatafuta wateja wakawauzia ukapata kipato ukaendesha kampuni yako ikafanikiwa..
Nilipofika shuleni,walimu na maprofessors wangu waliniambia fanya innovation,design,jenga,tafuta wateja uza pata fedha,tumia kwa uangalifu,flip again,maximize tena tena....
Hela za kwenda Bitcoin sizipati hewani,nazipata kwa kuendesha biashara yangu kwanza nipate hela ndio nije huko
Kuja huko bila kua na real business ni wizi,hatuwezi jenga taifa la kuuza bitcoins na forex tu,lazima tuzalishe kwa mikono,tushike tope,tugundue viwanda tutoe bidhaa tuuze kwa wateja,sio hizo blah blah
Na vitabu,siomi vitabu vya motvational speakers...nasoma real people with real experiences na hivi vya eti hatua 5 za kufanikiwa,and other blah blah
Tuchukulie mfano kukawa na rush watu wengi wakawekeza huko. Unadhani nini kitatokea mkuu??Mimi sio muumini wa hiyo theory ... Huo ni mtizamo wako Chief, kuna wengi sana akina Warren Buffet, Carl Icahn, George Soros.. et al wametengeneza Billions bila ku produce goods au service..
Walikuwa wanacheza kwenye speculations tu kama hivi