niwaellyester1
Senior Member
- Sep 7, 2010
- 123
- 22
me tatizo langu dogo tuu, yaan nashindwa kucomment a comment, yaan nikitaka kukoment kwny thread nakuta comment yangu imekaa chini kbs, ila ss nawezaje kucomment a comment? yaan ile labda nina highlight neno ili nilicomment nashindwa, kila cku natafuta option sizioni
me tatizo langu dogo tuu, yaan nashindwa kucomment a comment, yaan nikitaka kukoment kwny thread nakuta comment yangu imekaa chini kbs, ila ss nawezaje kucomment a comment? yaan ile labda nina highlight neno ili nilicomment nashindwa, kila cku natafuta option sizioni
lol!
natumia laptop, sasa wewe unaesema lol, ungekuwa wa maana c ungenielekeza? hovyooooooooo
honesty , naona bado cjaweza, nataka kujua jinc unavyoweza kujibu, yaan kama wewe ulivyocomment hii thread umeonyesha jinc ulivyonijibu mie na huyo hinx6, me siwezi , yaan nikicomment najikuta comment imekaa chini kabisa ya thread bt haioneshi namjibu nani
honesty , naona bado cjaweza, nataka kujua jinc unavyoweza kujibu, yaan kama wewe ulivyocomment hii thread umeonyesha jinc ulivyonijibu mie na huyo hinx6, me siwezi , yaan nikicomment najikuta comment imekaa chini kabisa ya thread bt haioneshi namjibu nani
Mkuu sijakusoma uzuri swali lako, unamaanisha huwezi kureply with quote kama alivyofanya mkuu baba mtu ktk hii thread?
hata kuelezea cwezi , ila ndio hivi najaribu jaribu ,yaan kureply comment, yaan kama kukujibu hapo ulipouliza juuMkuu sijakusoma uzuri swali lako, unamaanisha huwezi kureply with quote kama alivyofanya mkuu baba mtu ktk hii thread?
naona nishaweza tyr, kila cku nalionaga hili neno reply with quote ila me nalielewaga tofauti, asanteni wapendwaNimekuelewa unachotaka,kama unataka kujibu comment ya mtu kama nilivyofanya mimi hapa nime quote comment yako cha kufanya kama unatumia simu angalia hiyo comment unayotaka kujibu then press hapo walipoandika reply then itakuja hiyo comment kama unatumia PC Aau laptop angalia sehemu waliyoandika reply with quote then itakupa hiyo comment kwenye kibox chako cha kuandika....lakini pia vile vile comment yako itaenda chini kabisa haiwezi kuwa pale pale ulipotoa ile comment nyingine...jaribu kwanza hiyo then rudi uje utoe feedback kama umefanikiwa au not.....
natumia mozila, nishaweza tyr, nw shwariBrowser yako ipo latest? kama ni internet explorer jaribu kutumia version 8:coffee:
natumia laptop, nishaweza tyr , thanxlo pole kwele unaitaji msaada ni kwa kutumia pc au cm
nimeweza thanx alot mkuuYes mkuu nadhani ana mean hivyo nimejaribu kumpa maelezo hapo naona labda ajaribu anaweza kufanikiwa
nimeweza thanx alot mkuuNimekuelewa unachotaka,kama unataka kujibu comment ya mtu kama nilivyofanya mimi hapa nime quote comment yako cha kufanya kama unatumia simu angalia hiyo comment unayotaka kujibu then press hapo walipoandika reply then itakuja hiyo comment kama unatumia PC Aau laptop angalia sehemu waliyoandika reply with quote then itakupa hiyo comment kwenye kibox chako cha kuandika....lakini pia vile vile comment yako itaenda chini kabisa haiwezi kuwa pale pale ulipotoa ile comment nyingine...jaribu kwanza hiyo then rudi uje utoe feedback kama umefanikiwa au not.....
hapa ni darasa tupunaona nishaweza tyr, kila cku nalionaga hili neno reply with quote ila me nalielewaga tofauti, asanteni wapendwa
safinatumia mozila, nishaweza tyr, nw shwari
wana Jf tunapendana sananatumia laptop, nishaweza tyr , thanx
japo wapo wengine wana roho za kwa nininimeweza thanx alot mkuu
nimeweza thanx alot mkuu
safi sana mkuu endelea kuwa na moyo huo huo mkunjufu na wa kujikinai maana kutegemeana ni jambo jema,Nimekuelewa unachotaka,kama unataka kujibu comment ya mtu kama nilivyofanya mimi hapa nime quote comment yako cha kufanya kama unatumia simu angalia hiyo comment unayotaka kujibu then press hapo walipoandika reply then itakuja hiyo comment kama unatumia PC Aau laptop angalia sehemu waliyoandika reply with quote then itakupa hiyo comment kwenye kibox chako cha kuandika....lakini pia vile vile comment yako itaenda chini kabisa haiwezi kuwa pale pale ulipotoa ile comment nyingine...jaribu kwanza hiyo then rudi uje utoe feedback kama umefanikiwa au not.....