hapa ni darasa tupu
safi
wana Jf tunapendana sana
japo wapo wengine wana roho za kwa nini
safi sana mkuu endelea kuwa na moyo huo huo mkunjufu na wa kujikinai maana kutegemeana ni jambo jema,
japo wengine wanajifanya wanajua lakini at the end of all hawana msaada wanaishia kuandika lol!