NITOKE VIIPI-MAGUFULI TZ

Riacheni jamani ri kamanda rangu JPM ripige KAZI. Mbona kipindi kile cha jk mlilaani mkataka rigeshi ra wanageshi ndiyo ritawale ri nchi? Mbona ri kamanda rangu JPM harijafika hata robo ya ugeshi mnaanza kuria?
Turizanane hapo hapo sindano iwaingie vizuri.
 
Acha huyo binti akakae huko huko mbali kizuizini ajifunze adabu kidogo. # Life in exile ain't joke.
 


NITOKE VIIIPI!!!??? dikteta au mlinzi wa sheria. bila shaka rais tanzania mchoro kama huu ni mwafaka kumsaidia kuchagua njia ya kuafuata siasa za kwake....
mtuache na raisi wetu, sawa????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…