Hii sioni maana yake, JPM is the Commander in Chief of the Army, Ama kuna mwingine?
NITOKE VIIIPI!!!??? dikteta au mlinzi wa sheria. bila shaka rais tanzania mchoro kama huu ni mwafaka kumsaidia kuchagua njia ya kuafuata siasa za kwake....
Thread closedHii sioni maana yake, JPM is the Commander in Chief of the Army, Ama kuna mwingine?
Yule mwana ni mchumba tu hana ukaksi wowoteHahaha
Magufuli huwa ana jihisi ni mkaksi kishenzi
Ila namuonaga ni mwogaaaa! Ana muogopa hadi Mange
Unajifanya falla, siyo?Hii sioni maana yake, JPM is the Commander in Chief of the Army, Ama kuna mwingine?
Yaani jamaa anataka tafsiri hadi kwenye kibonzo. Sasa sielewi wakati anaoga huwa anatumia manual ya aina gani hiyo, ili sabuni ifike hadi mgongoni.Unajifanya falla, siyo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yule mwana ni mchumba tu hana ukaksi wowote
Mange amemshika pabaya na ilivyo ni kuwa he sings her songHahaha
Magufuli huwa ana jihisi ni mkaksi kishenzi
Ila namuonaga ni mwogaaaa! Ana muogopa hadi Mange
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mange amemshika papaya na ilivyo ni kuwa he sings her song
mtuache na raisi wetu, sawa????
NITOKE VIIIPI!!!??? dikteta au mlinzi wa sheria. bila shaka rais tanzania mchoro kama huu ni mwafaka kumsaidia kuchagua njia ya kuafuata siasa za kwake....
Kibonzo chenyewe kimechorwa na Gado,raia mwenzenu.mtuache na raisi wetu, sawa????
Mange amemshika pabaya na ilivyo ni kuwa he sings her song