ukwaju_wa_ kitambo
Senior Member
- Sep 15, 2024
- 150
- 173
UKWAJU WA KITAMBO
NITOKE VIPI - BWANA MISOSI FT HARD MAD VS NIMECHEZEA BAHATI - MAN X FT DULLY SYKES..
______________________________
studio ya Bongo Records ndiyo nyumba kuu ya upishi huu wenye maisha mazuri katika usikivu imara mpaka leo hii.
Ni wazi miongoni mwa wasanii waliowahi kutamba Afrika ya Mashariki katika muziki wa kizazi kipya ni kosa kutomtaja Bwana Misosi kijana toka Tanga.
Na 'Nitoke Vipi' ni wimbo pia ambao ulibeba album kamili ya Bwana Misosi ambayo rasmi ilitoka mwaka 2004. Ikumbukwe wimbo wa Nitoke vipi ulitoka 2003.
Lakini album hii walishiriki watayarishaji watatu ambao ni Mika Mwamba, P Funk Majani na Master Jay.
Lakini jambo baya zaidi hakuna takwimu kamili za mauzo ya album hii lakini ni miongoni mwa album zilizouza kwa ukubwa katika nchi hii.
Na katika album hii kulikuwemo na nyimbo Takribani 8. Nitoke vipi? Feat Hardmad, Mabinti wa kitanga, Upepo unavuma, Tucheze wote Feat Matonya, Kipusa, Mnauliza nini, Nguvu za giza na Nimesomeka.
Ni producer P funk majani ambaye aliweza kutengeneza beat ambayo iliweza kutumia katika nyimbo mbili ( 2) Tofauti ambazo ni "Nitoke vipi " ya Misosi ft hard mad . Beat ambayo baadaye ilikuja kutumiwa na msanii "Alex Kushaba" a.k.a Man x katika kibao chake matata kilichojulikana kama "Nimechezea bahati" ft Dully sykes..
#funguka.
Unadhani ni msanii yupi Kati ya Man x na Bwana misosi aliweza kutumia vyema Beat hilo kutoka kwa kinywele kimoja (1) P funk majani..
NITOKE VIPI - BWANA MISOSI FT HARD MAD VS NIMECHEZEA BAHATI - MAN X FT DULLY SYKES..
______________________________
studio ya Bongo Records ndiyo nyumba kuu ya upishi huu wenye maisha mazuri katika usikivu imara mpaka leo hii.
Ni wazi miongoni mwa wasanii waliowahi kutamba Afrika ya Mashariki katika muziki wa kizazi kipya ni kosa kutomtaja Bwana Misosi kijana toka Tanga.
Na 'Nitoke Vipi' ni wimbo pia ambao ulibeba album kamili ya Bwana Misosi ambayo rasmi ilitoka mwaka 2004. Ikumbukwe wimbo wa Nitoke vipi ulitoka 2003.
Lakini album hii walishiriki watayarishaji watatu ambao ni Mika Mwamba, P Funk Majani na Master Jay.
Lakini jambo baya zaidi hakuna takwimu kamili za mauzo ya album hii lakini ni miongoni mwa album zilizouza kwa ukubwa katika nchi hii.
Na katika album hii kulikuwemo na nyimbo Takribani 8. Nitoke vipi? Feat Hardmad, Mabinti wa kitanga, Upepo unavuma, Tucheze wote Feat Matonya, Kipusa, Mnauliza nini, Nguvu za giza na Nimesomeka.
Ni producer P funk majani ambaye aliweza kutengeneza beat ambayo iliweza kutumia katika nyimbo mbili ( 2) Tofauti ambazo ni "Nitoke vipi " ya Misosi ft hard mad . Beat ambayo baadaye ilikuja kutumiwa na msanii "Alex Kushaba" a.k.a Man x katika kibao chake matata kilichojulikana kama "Nimechezea bahati" ft Dully sykes..
#funguka.
Unadhani ni msanii yupi Kati ya Man x na Bwana misosi aliweza kutumia vyema Beat hilo kutoka kwa kinywele kimoja (1) P funk majani..