Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
uzuri geji zinakuwa wazi na aina ya rangi iliyo tumika ni nzuri kwa mazingira gani.nafikiri tupende kuwatumia watalamu wa kazi husikaHuyo atakua Chinese tu
taka kwa misingi ganiBati ni alaf au Nabaki Africa hizo zingine ni takataka
King lionYale anayoyatangaza yule jamaa wa comedy Azam ni kampuni gani
Yule anaesema Nimechanganyikiiwwaaa
Thubutu!! Kwani shida ni kutoboka? Tatizo ni kupauka!! ALAF NDIO MWISHO WA MANENO, changamoto ni bei tuweka geji sahihi hayo majina ni basi tuh yasikubabaishe
nataka na mimi niende dragon uliweka gage ipi 30 au 28 nijilipue hukoMimi niliweka dragon tokea 2016 mpaka Leo haijawahi kichuja rangi...Yako poa sana
30 mkuunataka na mimi niende dragon uliweka gage ipi 30 au 28 nijilipue huko
Umetuimia bati za rangi ipi? Ni rangi gani?Mimi niliweka dragon tokea 2016 mpaka Leo haijawahi kichuja rangi...Yako poa sana
Kijani mkuu... ila now rangi ya mkaa naona inatrend sanaUmetuimia bati za rangi ipi? Ni rangi gani?
Vipi mkuu mrejesho Wa hizo batiView attachment 2766616
Nimeamua kuweka BATI BOMBA nitakuja kutoa mrejesho
Kama umeshindwa ALAF nenda kwa Sunshare au Ando