Nitumie mbinu gani kuachana na huyu mwanamke?

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Habari za humu wakuu mimi maisha yangu na huyu mwanamke yamekuwa ni ya ugomvi kila wiki haiishi bila kugombana.

Ugomvi mkubwa hasa ni wa tendo pia ni mtu wa kununa kila wakati sasa tunae watoto wawili bado wadogo,

Sasa kuondoka hataki na tumepanga upendo kati yetu umekwisha na sioni njia nyingine zaidi ya kila mtu kufata maisha yake.

Nawaza nimuachie hili geto nikapangishe upya.

Na ameapa hataondoka hata nimlete mwanamke mwingine hapa ndani na sijafunga nae ndoa.

Je, ni tumie njia gani aondoke au mm ndo niondoke.
 
Pole Sana mkuu

Kama mnagombana hiyo nyumba haiwezi kustawi kwa jambo lolote.

Ushauri naomba ujitahidi kumpa ushindi na uwe positive Sana

Ugomvi ni kitu kibaya Sana

Pia waweza tumia njia za Asili Kama kuamka usiku kuomba , kuogea chumvi ya mawe mambo yote urejesha UPENDO uliopotea.

Nakuombea Amani itawale ktk familia yako.🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Asante kwa ushauri
 
Biblia inasema enyi wanaume ishini na wake zenu kwa akili,ukiona mnagombana sana ujue Huna akili
 
Asante kwa ushauri

Huwa kuna mbinu Fulani mfano mkeo akiwa stubborn (mkaidi) wewe unakuwa Una play role yako effectively kwa kutoa matumizi kuangalia watoto n.k

Na kipindi Ambacho mpo katika migogoro wewe unatumia Kama Advantage kwa Ku-focus na watoto na kuhakikisha huduma zinaimalishwa.


Nakupa uhakika ukiwa positive mke wako atabadilika mpaka utashangaa

Jaribu hii mbinu itakueletea matokeo kwa haraka.

Divorce -Taraka
Matusi
Kugomabana
Kurushiana matusi (harsh words)

Haya mambo yote ni devil's plan

So usiruhusu kuwa possesed by demons in ur marriage.

Usifatishe ushauri wowote wa kumfukuza mke wako at the early stage

People does change
 
Kama sio tabia yake tambua pana roho chafu imemwingia ndani shughulika na hio roho mkae sawa.

Upo sahihi mke wake yupo possessed by demons .

Afanye prayers hasa night prayers

Pia atumie chumvi ya mawe ili Ku-revive UPENDO.

Migogoro ,ugomvi ukishaingia katika nyumba kinachofata ni stumbling, hiyo nyumba haitozalisha chochote

Ikitokea taraka watakaoteseka ni watoto.
 
Ntaufanyia ushauri wako kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…