Nitumie nini ili niweze kuondoka haya madoa kwenye viatu vyangu

Nitumie nini ili niweze kuondoka haya madoa kwenye viatu vyangu

Zekoddo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
1,859
Reaction score
4,539
Habari I Wakuu

Shida yangu ni moja.. Nina viatu vyangu brand "Clark" hvi majuzi vimemwagikiwa na mafuta ya nywele almaarufu "Olive" ambayo yamekuja kutengeneza madoa ambayo yameonekana ni magumu kutoka licha ya kuosha vizuri hvyo viatu na kuspray dawa yake official ya kiatu cha ngozi kama hicho Ila naona madoa yameendelea kubaki.

So nipo hapa kuomba msaada wa dawa au chemical yoyote ninayoweza kutumia na kuondoka haya madoa..
Ni viatu vya gharama sana, Hadi Kichwa kinaniuma hapa.

IMG_20230530_181541_903.jpg
 
Jaribu baking soda loweka au koroga umwagie kwa sehemu iliyoathirika hata starch pia inaondoa mkuu
 
maji moto yanaweza kusaidia mkuu... chemsha maji tumia taulo kufyonza maji moto, kisha ndo usafishe!
 
We pakaa tu hayo mafuta kwa ustadi viatu vyote mbona sio mbaya, pia itafanya vionekane na mvuto wa kipekee.
 
Mafuta yamedondoka kwenye kiatu yapo hivyo halafu unapaka kwenye kichwa.
 
Back
Top Bottom