Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Wakubwa nlipitia sana life la Msuba na Chiga nyingi wakati nikiwa na saka life.
Sasa yale maisha nisha ya kacha ila kinacho ni boa lips zimeungua zimekuwa nyeus flan hivi kiasi kwamba kila mtu akiniona ananiambia vipi unavuta bangi asee huwa na boreka kinyamaaaa.
Au ukipiga story ukicheka utaskia mtu anaropoka pembeni kashakula majani ya bob.
Ila shida ni hizi lipsi nyeusi.
Sa naomba kupata msaada nafanyaje...??
Nipate lipsi zisizo onesha kula msuba
Alisikika jamaa mmoja anaomba ushauri kuhusu lipsi zake.[emoji23]
Sasa yale maisha nisha ya kacha ila kinacho ni boa lips zimeungua zimekuwa nyeus flan hivi kiasi kwamba kila mtu akiniona ananiambia vipi unavuta bangi asee huwa na boreka kinyamaaaa.
Au ukipiga story ukicheka utaskia mtu anaropoka pembeni kashakula majani ya bob.
Ila shida ni hizi lipsi nyeusi.
Sa naomba kupata msaada nafanyaje...??
Nipate lipsi zisizo onesha kula msuba
Alisikika jamaa mmoja anaomba ushauri kuhusu lipsi zake.[emoji23]