Niulize chochote kuhusu biashara ya viatu vya kiume

Niulize chochote kuhusu biashara ya viatu vya kiume

Innocent Kirumbuyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,641
Reaction score
4,457
Niulizie chochote kuhusu biashara ya viatu vya kiume na viatu venyewe

Natumaini mko wazima wa afya mwenye changamoto za maisha hapa na pale pole sana amini kila jambo linapita na litakuacha ukiwa imara zaidi ya jana.

Ok
Tuingie kwenye mada moja kwa moja

Pengine ulishatamani sana kufanya biashara ya viatu ila haujui uanzie wapi.

USIJALI

Leo nitakupa A B C kuhusu hii biashara changamoto zake faida zake na mengineo mengi natumaini utafurahi na kujua mengi kuhusu biashara ya viatu.

Karibu kwa maswali nitakujibu hapa hapa
njookariakoo2020_20200908_135500_0.jpg
IMG-20200902-WA0004.jpg
njookariakoo2020_20200908_133534_0.jpg
 
Viatu vya kiume ni ghali sana Dodoma kiasi kwamba nimekuwa muumini wa open shoes hadi nimeanza kuziuza kwa uchache.

Nielekeze chimbo kali la kupata viatu kama air jordan, supra, travota n.k ambavyo nikivitoa huko na kuvileta Dom nitauza kwa bei rafiki.
 
Viatu vya kiume ni ghali sana Dodoma kiasi kwamba nimekuwa muumini wa open shoes hadi nimeanza kuziuza kwa uchache.

nielekeze chimbo kali la kupata viatu kama air jordan, supra, travota n.k ambavyo nikivitoa huko na kuvileta Dom nitauza kwa bei rafiki.
Kila kiatu ni ghali Dodoma au ni baadhi ya viatu viatu imara na kwabei nzuri vinapatikana Dar na Mwanza ni wewe tu.
 
Niulizie chochote kuhusu biashara ya viatu vya kiume na viatu venyewe

Natumaini mko wazima wa afya mwenye changamoto za maisha hapa na pale pole sana amini kila jambo linapita na litakuacha ukiwa imara zaidi ya jana.

Ok
Tuingie kwenye mada moja kwa moja

Pengine ulishatamani sana kufanya biashara ya viatu ila haujui uanzie wapi.

USIJALI

Leo nitakupa A B C kuhusu hii biashara changamoto zake faida zake na mengineo mengi natumaini utafurahi na kujua mengi kuhusu biashara ya viatu.

Karibu kwa maswali nitakujibu hapa hapa View attachment 1564143View attachment 1564144View attachment 1564146
We ndio mmiliki wa account instagram wauza viatu, njoo Kariakoo2020
 
Niulizie chochote kuhusu biashara ya viatu vya kiume na viatu venyewe

Natumaini mko wazima wa afya mwenye changamoto za maisha hapa na pale pole sana amini kila jambo linapita na litakuacha ukiwa imara zaidi ya jana.

Ok
Tuingie kwenye mada moja kwa moja

Pengine ulishatamani sana kufanya biashara ya viatu ila haujui uanzie wapi.

USIJALI

Leo nitakupa A B C kuhusu hii biashara changamoto zake faida zake na mengineo mengi natumaini utafurahi na kujua mengi kuhusu biashara ya viatu.

Karibu kwa maswali nitakujibu hapa hapa View attachment 1564143View attachment 1564144View attachment 1564146
Ungeweka namba mkuu.
 
Niulizie chochote kuhusu biashara ya viatu vya kiume na viatu venyewe

Natumaini mko wazima wa afya mwenye changamoto za maisha hapa na pale pole sana amini kila jambo linapita na litakuacha ukiwa imara zaidi ya jana.

Ok
Tuingie kwenye mada moja kwa moja

Pengine ulishatamani sana kufanya biashara ya viatu ila haujui uanzie wapi.

USIJALI

Leo nitakupa A B C kuhusu hii biashara changamoto zake faida zake na mengineo mengi natumaini utafurahi na kujua mengi kuhusu biashara ya viatu.

Karibu kwa maswali nitakujibu hapa hapa View attachment 1564143View attachment 1564144View attachment 1564146
Open shoe ya Clarks bei ya jumla?
 
Kwa mfanya biashara mpya kabisa unamshauri vitu vipi vya kuzingatia kabla hajaanza hii biashara?
Vitu vya kuzingatia ni eneo zuri lenye mzunguko cha pili umakini katika kuchagua mzigo na chatatu uwe na mtaji mzuri kwasababu moja ya biashara inayotaka mtaji usiyoyumba.
 
Back
Top Bottom