Goba ni mji unaokua kwa kasi ya ajabu
Thread hii natoa fursa kwa watu wanaotaka kuijua Goba kiundani zaidi kuuliza maswali na wenyeji wa Goba tutayajibu kadri tuwezavyo
Sio GO-BACK mkuu,
Wale vigagula wazee wa kizaramo walipokufa ndio mji huo ukaanza kujengwa na viwanja kuuzwa, zamani ilikuwa ukienda unarudi na kuwaachia hali yao kama palivyo hawakutaka changes, si unajua vichawi! Kwa hiyo una go back,
Unalikumbuka basi la kijiji cha goba miaka ya 88. Lilikuwa dogo hivi na wazee wana siti zao hata apandie wapi atapishwa. Siti yake. Chako changu likiitwa