Niulize chochote kuhusu uchimbaji wa Visima

Huwa nasikia kuna utaratibu wa kupata kibari kutoka kwa Idara inayohusika na mambo ya Bonde(siijui vizuri). Hii ikoje.
Kuchimba kisima cha kawaida mwisho mita 15 baada ya hapo bonde ndo wanahusika nilisikia kwa mtu sina uhakika lakini ngoja mtaalam aje akupe muongozo.
 
TUNACHIMBA VISIMA VYABMAJI

Saiti location: Mwanza - Busweru
Urefu wa Kisima: Mita 130
Upana wa bomba: Inchi 5

Tunachimba Visima na kufanya underground water Survey kwa ghalama nafuu kabisa

0689 150 968 / 0625 557 395 / 0764 418 248
#VisimaNafuu
 
Wataalamu na Wabobevu wa Uchimbaji wa Visima kwa matumizi mbali mbali kama vile

°Umwagiliaji Shambani
°matumizi ya Viwandani
°Matumizi ya kawaida nyumbani
°Matumizi ya kunyweshea mifugo
°Visima kwa ajili ya biashara ya kuuza maji.

Pia Tunafanya Underground Water Survey kwa ghalama nafuu kabisa

0689 150 968
0764 418 248
0625 557 395
 
Ghalama za uchimbaji zinatofautiana kutokana na saiti ilipo hebu niambie boss saiti yako iko wapi?
Kwa nyamadoke mita shingapi? Na water table approx ni mita ngapi? Na je bomba na pampu zikiwa juu yangu gharama ni shingapi?
 
Tunachimba Visima na kufanya Underground Water Survey kwa gharama nafuu kabisa

0689 150 968
0625 557 395
0764 418 248
 
Gharama alikufanyia bei gani mkuu?
 
Kazi inaendelea
Gharama zetu ni nafuu sana
 

Attachments

  • 997963600e964b12bd4a2300183a1283_1.mp4
    13.5 MB
Anaejua wachimbaji wanaopina kienyeji mm ndio nawahitaji!! Ni wa uhakika zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…