Wengi wanaofanya kazi ni Waha, Wahangaza na Wasukuma na wanawake wa kinyamwezi lakini wanaume ni kupendeza wavivu sana
Wilaya ya Sikonge imeanzishwa mwaka 2001 tu inakuwaje wilaya Kongwe ?Sikonge ni wilaya kongwe na masikini kupindukia
97 ndiyo iwe kongwe ?Sikonge imeanza 1997 kama wilaya kwa maana ya utawala tu lakini Sikonge kama mji ni wa siku nyingi mno na ni masikini sana.
Fisi ni Igunga, Nzega na Uyui na Urambo kidogoSikonge haina fisi wengi toka zamani
Wasukuma hawana umaskini wa kipato,Mikoa wanayokaa wasukuma na wanyamwezi karibia maeneo yote bado ni maskini sana. Inatakiwa Rais mwingine ajaye kuanzia 2025-2035 awe type ya JPM ndiyo waweze kutoka. Ndiyo maana mimi kwa sasa hivi "ninayempigia debe" kwa Mungu ni Majaliwa. 2025 tukienda na Majaliwa anaweza kuwatoa hapo walipo wakatoka milele, na pia watanzania wengine walioko kwenye maeneo mengine popote pale ambayo bado yako kwenye hali ya umaskini unaofanana na huo!
ongeza Maswa na BariadiFisi ni Igunga, Nzega na Uyui na Urambo kidogo
Ni kweli Shinyanga yote kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na fisi wengi sana.ongeza Maswa na Bariadi
Hahahahaha.....Moja kat ya uzi bora kabisa kuwahi kutokea JF
Acheni kuleta Division 5 zenu, kwenye jukwaa la watu wenye akili timamuWilaya ya Sikonge imeanzishwa mwaka 2001 tu inakuwaje wilaya Kongwe ?
So nikifika Kitunda ntapanda bus lingine ama ntachukua boda boda? Na hapo Kipili ndio Ipembe?Utatakiwa upande basi au gari Moshi mpaka Tabora kisha utapanda basi la Kitunda na hapo ndiyo kuna njia ya Kiloli mpaka Kipili
Nimezungumzia ktk dhana ya mji... mji wa Sikonge ni mkongwe sana.97 ndiyo iwe kongwe ?
wasije wakawa wa kichawiNi kweli Shinyanga yote kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na fisi wengi sana.
Ila kiboko ni Kahama
Ni mkongwe kwa sababu ya uwepo wa Mission ya Moravian lakini ulikuwa isolated kwa kukosa muunganiko na makao makuu.Nimezungumzia ktk dhana ya mji... mji wa Sikonge ni mkongwe sana.
Probably inaweza kuwa hivyo ni wengi sana hasa Kahama ikifika saa 9 tu wanaanza kuzagaa mitaani.wasije wakawa wa kichawi
Kwani wenye division 5 hawana akili timamu ?Acheni kuleta Division 5 zenu, kwenye jukwaa la watu wenye akili timamu
Wilaya ya Sikonge ilianzishwa mwaka 1996.
Kwahiyo ikianzishwa 1996 inakuwa wilaya kongwe?Acheni kuleta Division 5 zenu, kwenye jukwaa la watu wenye akili timamu
Wilaya ya Sikonge ilianzishwa mwaka 1996.
Yeah nimewahi kuwa RAS Tabora way back harakati za kuunda wilaya zinaanzaNi mkongwe kwa sababu ya uwepo wa Mission ya Moravian lakini ulikuwa isolated kwa kukosa muunganiko na makao makuu.
Miji mingi ilikuwa inakua kwa kusuasua sana wayaback lakini kuanzia 2005 to 2015 kulikuwa na ukuaji wa haraka sana wa urban na peri urban areas.
Sasa Sikonge haina kivutio chochote kwa watu zaidi ya kilimo ambayo haiwezi kuwa ideal place kwa sababu ya ubovu wa miundombinu na huduma za jamii