Niulize chochote nitakujibu

Acha kudanganya mwanamke huwa hamchunguzi muoaji labda awe anadate na wanaume wengi na ikatokea kila mmoja anataka kutoa posa, We nikija hapo tukawa katika mahusiano ndani ya miezi 2 tu nikakwambia nataka kukuoa utasema nikusubiri unichunguze?
Ndio,nitasema lazima nikuchunguze,lazima nipate muda kukufaham,sio huko mbeleni nianze kujutia
 
Japo kuwa huo ni udhaifu ila si kwa swali langu hilo.Namaanisha madhaifu yako wewe kama kwa binafsi yako ?

Mfano,wewe sio mchoyo ? Wewe sio mshirikina ? Wewe sio muongo ?
Hivyo vingine inategemeana na nini kinakufanya ufanye hivyo,mfano,uwongo unaweza ukaepusha madhara yastokee au yakasababisha madhara ,kwa hiyo hayo hutegemeana na hali iliyopo kwa muda huo
 
Hii avatar ni yako??namaanisha ndivyo ulivyo???Na Kama ndivyo ulivyo una miaka 27 inamaana watu hawajashawishika na huo mkia??
 
Handsome

Mcheshi

Mkarim

Mwenyehuruma

Anayejua maisha

Asiyependa starehe ya ngono na pombe

Awe tayari kupima HIV

Pesa kila mtu anatafuta
Mimi nina hivyo vigezo vyote kasoro kwenye starehe ya ngono, unaweza kuwa na mimi huku ukivumilia nibadilike gradually? [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…