pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 654
heshima kwenu wote
natoa nafasi ya kuulizwa swali lolote linahusiana na vimelea vya magonjwa, upimaji wake na kinga ya mwili
kama una sehemu unatatizwa na unahitaji kufafanuliwa nitakupa ufafanuzi huo na ushauri wa nini cha kufanya
yapo magonjwa mengi sana, yale yanayoambukizwa na yale yasioambukizwa. yanayoambukizwa mara nyingi husabishwa na vimelea vya magonjwa kama bacteria, fangasi na virus
nitakujibu swali utakalouliza litakaloendana na bacteria, fangasi, virusi, ptotozoa na kinga ya mwili
karibuni
natoa nafasi ya kuulizwa swali lolote linahusiana na vimelea vya magonjwa, upimaji wake na kinga ya mwili
kama una sehemu unatatizwa na unahitaji kufafanuliwa nitakupa ufafanuzi huo na ushauri wa nini cha kufanya
yapo magonjwa mengi sana, yale yanayoambukizwa na yale yasioambukizwa. yanayoambukizwa mara nyingi husabishwa na vimelea vya magonjwa kama bacteria, fangasi na virus
nitakujibu swali utakalouliza litakaloendana na bacteria, fangasi, virusi, ptotozoa na kinga ya mwili
karibuni