kauvimbe shingini inaweza kuwa kansa lakini pia unaweza kusababishwa na virus. kwa hapo nenda ukamuone daktari wapime ili wajue ni kansa au ni ktu kingine.wapo virus wanaweza kusababisha kansa lakini kansa nyingi zinatokana na makosa katika mfumo wa chembe zamwili kugawanyika. nenda muhimbili. kipimo hicho kama huna bina ni zaidi ya themanini elfu. pia unaweza kupata huduma hiyo kcmc na bugando na rufaa mbeyaNi vimelea gani wanasababisha kiuvimbe shingoni kisichoisha?
hizo dawa tunziita kwa jina la ujumla. zinaitwa post exposure prophylaxis. zinaweza kuzuia virus kusambaa mwilini kwa asimilia sabini hadi semanini kama utaanza kunywa ndani ya masaa sabini na mbili baada ya kubakwa au kutembea na mtu ambaye ameambukizwaNaomba kuuliza hii dawa ambayo wabakwaji huwa wanapewa (nimesahau jina) hiyo dawa nasikia huwakinga na maambukizi ya VVU kama watawahi kuitumia kabla ya masaa 72 nadhani.
Kwanini hivyo virusi vinaweza kudhibitiwa na hiyo dawa ila haviwezi kudhibitiwa kwa mwathirika wa siku nyingi?
Maswali mengine yatakuja.
hizo dawa tunziita kwa jina la ujumla. zinaitwa post exposure prophylaxis. zinaweza kuzuia virus kusambaa mwilini kwa asimilia sabini hadi semanini kama utaanza kunywa ndani ya masaa sabini na mbili baada ya kubakwa au kutembea na mtu ambaye ameambukizwa
kikuweliii bado tiba ya vvu haijapatikana zaidi ya majaribio yanayoendelea.Kwanini hazina uwezo wa kitibu VVU naomba useme kidogo hapo ili tujue.
Naomba kuuliza hii dawa ambayo wabakwaji huwa wanapewa (nimesahau jina) hiyo dawa nasikia huwakinga na maambukizi ya VVU kama watawahi kuitumia kabla ya masaa 72 nadhani.
Kwanini hivyo virusi vinaweza kudhibitiwa na hiyo dawa ila haviwezi kudhibitiwa kwa mwathirika wa siku nyingi?
Maswali mengine yatakuja.
Hizo dawa ni effective kwa kuzuia virusi visikutane na seli ila vikishakutana na seli basi tena hazina kazi yoyote na ndo maana inashauriwa utumie ndani ya masaa 72 muda ambao tunaamini virusi havitakua vimeungana na seli
Naomba nipe ufafanuzi kwa nini magonjwa kama Kipindupindu, Ebola na Mafua ya ndege huzuka kwa msimu, hayapo siku zote kama Maralia.
Haya huenezwa na hewa kwa hiyo kipindi cha upepo mkali hua yanasambaa kwa kasi na kufika sehemu nyingi ila kipindupindu mara nyingi ni kipindi cha uchafu sana ndio hua kinatokea
uonapo uvimbe wowote mwilini hasa kama hauna maumivu, hatua ya kwanda nenda kamuone daktari ili upime kansa. ikijulikana kama huo uvimbe sio kansa mathalani ni lipoma hatua nyingine zitaendelea. kitu cha msingi kufanya, nenda haraka ukapima huo uvimbe. nimesema gharama ya kupima na kumwana daktari muhimbili ukienda kama private hizidi laki na kumi yaani 30 kumwona daktari na 80 elfu kupimaMe naomba unisaidie hapa kuna kipnd nilikuwa na mawazo sana nikatokewa na kiuvimbe shingon upande wa kulia ila hakiumi kinauma Mara chache sana hasa nikilala vibaya, swali langu je msongo wa mawazo unaweza kusababisha kutokewa na huu uvimbe shingon maana sahv una kama miez 7 haujaisha bado upo
Mkuu mimi nina tatizo la kukosa usingiziheshima kwenu wote
natoa nafasi ya kuulizwa swali lolote linahusiana na vimelea vya magonjwa, upimaji wake na kinga ya mwili
kama una sehemu unatatizwa na unahitaji kufafanuliwa nitakupa ufafanuzi huo na ushauri wa nini cha kufanya
yapo magonjwa mengi sana, yale yanayoambukizwa na yale yasioambukizwa. yanayoambukizwa mara nyingi husabishwa na vimelea vya magonjwa kama bacteria, fangasi na virus
nitakujibu swali utakalouliza litakaloendana na bacteria, fangasi, virusi, ptotozoa na kinga ya mwili
karibuni
hilo sina utaalamu nalo. mimi niko kwenye vimelea na kinga ya mwili. hilo naomba umwone daktari wa kawaida atakuongoza wa kumwona. unaweza kwa daktari wa kawaida hospitali yoyote ili akuongoze kwa specialistMkuu mimi nina tatizo la kukosa usingizi