hilo sina utaalamu nalo. mimi niko kwenye vimelea na kinga ya mwili. hilo naomba umwone daktari wa kawaida atakuongoza wa kumwona. unaweza kwa daktari wa kawaida hospitali yoyote ili akuongoze kwa specialist
Magonjwa gani huwa yanaua kwa mnyororo ukiacha UKIMWI (Yaani kama baba alikufa kwa kifua kikuu basi familia yake huwenda ikawa kwenye hatari ya kupata ugonjwa huo)
Mkuu me nadhani magonjwa yote ya kuambukiza hasahasa kwa njia ya hewa ni hatari kwa familia ushauri wangu mmoja anapopata ni vema kama familia mkapime wote na kutibiwa kama inawezekana
Mkuu me nadhani magonjwa yote ya kuambukiza hasahasa kwa njia ya hewa ni hatari kwa familia ushauri wangu mmoja anapopata ni vema kama familia mkapime wote na kutibiwa kama inawezekana