Pole sana ila ucjali utarudi kwenye paylor,siku hizi walimu wote boss wao ni mkurugenzi wa halmashauri nacyo tena wizara wewe nenda shuleni ulikokuwa unafundisha kaangalie taarifa zako then nenda kwa afisa elimu sekondari halmashauri ukiwa na salary slip yako ya april,may na barua yako ya ajira atakusaidia kwenda ofisi ya mishahara kwenda kuangalia kama umefutika au umewekewa STOP PAYMENT .nipigie nitakusaidia kwa maelezo zaidi kwani ninauzoefu na hizo issue 0688118561[/QU dah,asante sana ntakupigia leo
Ina maana umejifukuzisha kazi,vinginevyo ungemend faces na mkuu wako badala ya kusepa.Hata hivyo BBA haitambuliki kama cheti cha ualimu,utaendelea kulamba za dip tu.Habari wana JF?,mi ni miongoni mwa walim wa SHORT COURSE. Nilihudhuria mafunzo hayo mwaka 2006 na nikafanya kaz kwa miaka miwili(April 2006- August 2088). Nikaandika barua wizarani kuwa naomba kwenda kusoma lkn mpaka muda wa kureport chuo sikupata barua ya ruhusa hivyo nikalazimika kwenda chuo hvyohvyo..mwaka mmoja baadae yan June 2009 mshahara ulifungwa. Nimeshamaliza masomo yangu ya BBA mwaka huu ninahitaji kurudi kufundisha,je inawezekana kufanya hvyo?,nifuatiliaje suala hilo?. Nashukuru wakuu.
ualimu ni kazi kama kazi nyingine usiudharau kwasababu mwalimu ndio aliyekufikisha hapo ulipouku ni kuchanganya mambo, ualimu wa vodafasta utoke uende kusomea bba alafu urudi ufundishe!! Kwanini ukwenda kusoma b in edu ili ukawa much competent, ina onekana ualimu uupendi, si-amini kama utakubaliwa kurudi kama utadumu kwenye hiyo fani. So far wenzio wanatafuta mbinu za kukimbia hiyo field ya ualimu we unataka kujitumbukiza au kwa vile huna kazi?
Ina maana umejifukuzisha kazi,vinginevyo ungemend faces na mkuu wako badala ya kusepa.Hata hivyo BBA haitambuliki kama cheti cha ualimu,utaendelea kulamba za dip tu.