Niuzie Biashara Yako.

Senior Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2011
Posts
3,405
Reaction score
3,689
Habari zenu wakuu,

Kama ilivyo kwenye kichwa cha habari hapo juu. Mimi niko tayari kununua biashara yako/ ya mtu yeyote. Iwe yenye vigezo vifuatavyo.

1. Iwe na uwezo wa kutengeneza a net profit of atleast Tsh. 100,000/= everyday au kama zaidi ni vyema pia.
2. Iwe jijini dar es salaam
3. Iwe ni biashara ambayo inaweza kujiendesha yenyewe without my maximum supervision or my 100% presence.
4. Itakua vyema kama utanipatia the cost of capital na mchanganuo mzima of that business.
5. Isiwe biashara ya usafiri i.e taxi, daladala or bajaji.

If its a confidential business idea waweza ni PM
Nakaribisha sana mawazo yenu.

Thanks in advance.
#Barikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…