Niuzie Modem ya Huawei au ZTE

Niuzie Modem ya Huawei au ZTE

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
5,757
Reaction score
2,368
Habari wana Jukwaa.

Nina project ambayo inaitaji USB modem, yoyote kati ya hizi kampuni tajwa hapa chini:

  1. Huawei
  2. ZTE

Najua teknolojia ya modem imeenda ina phase out kwenye nchi yetu, kutokana na kwamba kwa sasa kuna MiFi router ambazo unaweza kuzipata mpaka kwa 50,000/=
Hivo kama kipindi cha nyuma uliwahi kuwa na Modem za Huawei E153, E173, E303 au model yoyote ya ZTE au modem nyingine yoyote, unaweza kuniuzia uka top up ukanunua MiFi router.
Modem zile za ambazo haziingizi line kama ile ya zantel enzi hizo haitofaa kwa kazi yangu.

Ninaitaji modem 20, Offer yangu inaanzia 15,000/= kulingana na condition ya hiyo modem

Tuwasiliane 0753932250 au post picha yake hapa hapa na dau lako.

Asanteni

922222.jpg
 
nimejisemea tu ,by the way wewe nigwiji wa online purchese mjini aliexpress apo ninaona viko affordable sana mkuu, waweza jilipua apo.
 
nimejisemea tu ,by the way wewe nigwiji wa online purchese mjini aliexpress apo ninaona viko affordable sana mkuu, waweza jilipua apo.
Nshalia na hizo modem za wachina, sijui zinaku ni toys ama ni nini, ndo maana nimeona nije hapa na nimeamua kuwa categorical kuwa ziwe modem za Huawei na ZTE.
Ntatuma picha baadae ili wengine wasije ingia mkenge na hizo modem za kichina.

Ambazo nimeona wachina hata wakiwa nazo wanaziuza bei kubwa kuliko uhalisia mfano modem ya 3G kuiza juu ya 30,000/= ni uongo mkubwa.
 
Kiukweli basi mbadala uwe ebay manake kiukweli ni mtihani sana ila kuna huyu mwamba anazo waweza mcheki ni huawei na yuko mjini kwenu nakutumia namba inbox sina kibali chake kuweka namba hadharani
 
Habari wana Jukwaa.

Nina project ambayo inaitaji USB modem, yoyote kati ya hizi kampuni tajwa hapa chini:

  1. Huawei
  2. ZTE

Najua teknolojia ya modem imeenda ina phase out kwenye nchi yetu, kutokana na kwamba kwa sasa kuna MiFi router ambazo unaweza kuzipata mpaka kwa 50,000/=
Hivo kama kipindi cha nyuma uliwahi kuwa na Modem za Huawei E153, E173, E303 au model yoyote ya ZTE au modem nyingine yoyote, unaweza kuniuzia uka top up ukanunua MiFi router.
Modem zile za ambazo haziingizi line kama ile ya zantel enzi hizo haitofaa kwa kazi yangu.

Ninaitaji modem 20, Offer yangu inaanzia 15,000/= kulingana na condition ya hiyo modem

Tuwasiliane 0753932250 au post picha yake hapa hapa na dau lako.

Asanteni

View attachment 2994803
Ww upo dar sehemu gani
 
Kiukweli basi mbadala uwe ebay manake kiukweli ni mtihani sana ila kuna huyu mwamba anazo waweza mcheki ni huawei na yuko mjini kwenu nakutumia namba inbox sina kibali chake kuweka namba hadharani
Nashukuru Mkuu, naomba ni PM basi
 
Back
Top Bottom