Niuzie simu ofa 130,000 Dodoma

Bubolwa Chura

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
300
Reaction score
560
Kama una simu na uko Dodoma naomba niuzie nimekwama kabisa. Masharti, uwe tayari kwenda kuandikisha polisi au kwa mwenyekiti wa mtaa au kwa mwanasheria kuwa tumeuziana simu.

Tecno Air, Tecno Phantom, Samsung J7, Infinix Note 5 nk.

Usiniambie una Tecno sijui ambayo dukani unauza laki moja au laki mbili, hata mimi naweza kwenda kununua ila kwa sasa nataka simu kubwa kidogo.

Isiwe imefunguliwa, mimi ni fundi nitaikagua.

Ahsante.
 
Huawei Maimang 4. Used nje ya nchi, 200,000/=
 
Eti unawapiga kabisa namikwara 'isiwe imefunguliwa, mimi nifundi nitaikagua'

Wakati ungejua wanaouza simu wengi nimafundi pia zaidi yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…