Niwafunze kuhusu vidole gumba!

Niwafunze kuhusu vidole gumba!

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
DOLE.png

Na TheOriginaleast

Kama mwanamke/ mwanaume wako na hizo two line kwenye mkono wa kulia basi jua ni mtu mwenye bahati! Ukitembeanae lazima ufanikiwe! Yaani mambo yako yataenda! Ya kwake yatabaki pale pale kwa hiyo kama Ukifanikiwa basi msupport na yeye aenjoy matunda ya bahati yake! (hawa ni wanaotajirisha wenzao tu).

Kama nwanamke/ mwanaume wako anazo hizo two lines kwa mikono Yote Miwili basi utafanikiwa wewe na yeye atafanikiwa !!!! Hata mkwame vipi ipo siku mtatoboa!

Kama una line mbili mkono wa Kushoto !!! Wewe ni wa kupata madeal ya bahati ila pesa hazikai !!!! Zinakuja Na kusepa !!!!! Madeal yanakuja makubwa ila hutajiriki!

Kama demu wako anayo line 1 mikono yote miwili jiandae kufulia !!! Kupata matukio !!! Mikosi na matatizo kukuandama !! labda asiwe na hizo line ila awe na uvungu mkubwa wa miguu.
 
Aiyo mchumba siku fichi, ukikosa dole gumba ujue we ni mgumba wa maandishi.

Hasa bila hili dole utaandika vipi, maana ndio dole linalosaidia kushika biki.

Nimetafakari mbali aisee, dole gumba mi nalikubali mazee.

Msiojua maana acheni niwaelezee, dole gumba mliache msilichezee.

Sa skia dole gumba linasabahi, ukiwa mbali dole gumba linatoa hai.

Dole gumba linafanya tunafurahi, na kwenye furaha ndio kunako kutwa uhai.

Mtaani hali tete, bila ili dole lisingekuwepo lile dole la mabeste.

Nacho fahamu hili dole halivai pete, linashika rungu kama huamini kamuulize kipepe.
 
Naona mm hivyo vimstali vipo mikono yote ,ngoja niendelee kufanya utafiti
 
Akili za kuambiwa changanya na zako.

Mafanikio yana principles zake, ndiyo maana huwezi lala maskini na kuamka tajiri.
 
Mi sina ila bahati nilonayo hailezeki maana hata hapa ningekua sipo saiz. So bakini na imani zenu
 
Back
Top Bottom