Niwangapi wanatamani kukutana na hawa wana jf?

Mi ninahamu sana na kuonana na first lady na afrodez ila sijui kwa nini?
 
Rose1980,Baba_enock,Nyamayao,Firslady1,Preta hawa kweye red ni fest preorti kwangu huwa nasoma mpaka imeji zangu kama niponao laivu nawapenda sana hawa nahuwa napita hapa kwa ajiliyao kama ntapata fursa itabid niwafanyie pati, ila KakaKiiza huwa nakuogopa:smile:.Fixed Point,Gaijjin,smilies,BigMama,
Katavi,Bujibuji,Kituko,Mwasu,Mwanak ijiji,Sistersisita,na Cheusimangara hizi rangi nazani mnazielewa
 

Jina langu halimo, nimechakachuliwa
 

Nipeni siku niwaandalie lakini isizidi Desember5 idadi ya wajumbe watakaohuzuria mpombeke mjuane mfurahi umoja waJF udum lakini naogopa ndo majungu yatakapo anza mana wabongo mkijuana tu lazima ishuzamitaani mtaleta humu jana ooooalikua na naflaaaaniiiiiiii kalewaaa chakaliiii wakaniiiiiiiihiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…