Niwasahihishe wapotoshaji wanaodhani Rais Magufuli amekiuka sheria kuwateua mawaziri (Prof. Kabudi na Dkt. Mpango)

Niwasahihishe wapotoshaji wanaodhani Rais Magufuli amekiuka sheria kuwateua mawaziri (Prof. Kabudi na Dkt. Mpango)

Elius W Ndabila

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
324
Reaction score
649
Na Elius Ndabila
0768239284

Baada ya Mh Rais kuwateua Mawaziri wawili, yaani Waziri wa Mambo ya nje Prof Kabudi na Waziri wa Fedha Prof Mpango kumezuka watu wanaoandika mtandaoni kuwa Rais amevunja katiba ambayo inasema Rais atateua Mawaziri na Manaibu Mawaziri kwa kushauriana na Waziri mkuu.

Wanaojenga hoja hii, wanasema Mh Rais ameteua Mawaziri akiwa bado hana Waziri mkuu kwa kuwa Waziri Mkuu aliyeteuliwa hajaapishwa.

Ni kweli ukisoma Ibara ya 55 ya Katiba ya JMT kifungu kidogo cha kwanza kinasema "Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mjibu wa Ibara ya 54 ya watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri mkuu". Ibara hii inazungumzia pia upatikanaji wa Manaibu Waziri.

Ibara ya 51(1) ya Katiba ya JMT ndiyo inayozungumza kuwa kutakuwa na Waziri Mkuu atakayeteuliwa na Rais na inasema kabla ya kushika madaraka ataapa mbele ya Rais kwa kiapo kitakachohusika na kiti cha Waziri Mkuu kitakachowekwa na Bunge.

Lakini Ibara hiyo hiyo ya 51(2) inasema kuwa. Waziri mkuu huyo hatashika madaraka hayo mpaka kwanza uteuzi wake uwe umethibitishwa na Bunge kwa azimio litakaloungwa mkono na kura za Wabunge waliowengi.

Hivyo wanaodhani Rais amekosea ninadhani Ibara hii ya 51(2) imetoa majibu kuwa pamoja na uapisho utakaofanywa wa Waziri Mkuu, lakini tiyari kile kitendo cha Bunge kumthibitisha na kupewa kiti maalumu cha kukalia basi majukumu yake ya Waziri Mkuu yalikuwa yanaanza pale. Kwa mkutadha huo, uteuzi wa Mawaziri uliofanyika leo haujavunja katiba kwa kuwa tiyari toka jana nchi ilikuwa na Waziri mkuu baada ya bunge kumthibitisha.

Mwisho katiba Ibara ya 37(1) inampa nguvu zaidi Mh Rais nguvu wakati mwingine kutimiza majukumu yake bila kulazimika kuomba au kushauriwa na mtu yeyote isipokuwa atakapotakiwa na katiba hii au.

Ninadhani sasa mliokuwa mumedhamiria kupotosha, mumeelewa. WAZIRI mkuu yupo tangu pale Bunge lilipomuthibitisha na ndio maana toka jana kiti chake Bungeni hakipo wazi.
 
Na Elius Ndabila
0768239284

Uzuri na No. zako za simu umeziweka, subiri uteuze unakuja. U-DAS utakutosha?
 
Hao wanazisomaga sheria kijuujuu ili kuja kuwapotosha wasiofuatila usahihi wa mambo. Mfano mwingine, leo wamo humu wanadanganyana eti hakutakuwa na Kamati za Bunge za PAC, LAAC kisa eti wapinzani hawapo wa kutosha Bungeni. Ujinga mtupu!
 
Na Elius Ndabila
0768239284

Pambana kama PASCAL MAYALLA.
MZEE PASCAL ANA KAZI NGUMU SANA YA KULAMBA MATAPISHI YAKE HUKU AKITEGEMEA UTEUZI MWAKA WA 4 SASA.
 
Sahihisha na wale wapotoshaji wanaosema rais aliahidi million 50 kila Kijiji
 
Samahani kwanza kabla ya yote. Nimeona neno Rais hapo ni yupi hasa unamzungumzia wa TFF, wa TLS au huyu jambazi alieiba kura hapa juzi mwishoni mwa Oktoba?
Kwa hiyo kwa akili yako unadhani kwa Sasa nchi haina Rais? hivi Kuna uchaguzi gani hapa nchini Chadema waliwahi kukiri wazi kuwa tumeshindwa Kama siyo maigizo yenu ambayo huwa hayadumu. Cha ajabu hata huyo Lisu nimemsikia akihojiwa na VOA amemtaja Magufuli kama Muheshimiwa Rais licha ya hapo mwanzo kusema hatambui matokeo ya uchaguzi.
 
NIWASAHIHISHE WAPOTOSHAJI WANAODHANI MH RAIS AMEKIUKA SHERIA KUWATEUA MAWAZIRI.


Na Elius Ndabila
0768239284

Baada ya Mh Rais kuwateua Mawaziri wawili, yaani Waziri wa Mambo ya nje Prof Kabudi na Waziri wa Fedha Prof Mpango kumezuka watu wanaoandika mtandaoni kuwa Rais amevunja katiba ambayo inasema Rais atateua Mawaziri na Manaibu Mawaziri kwa kushauriana na Waziri mkuu.

Wanaojenga hoja hii, wanasema Mh Rais ameteua Mawaziri akiwa bado hana Waziri mkuu kwa kuwa Waziri Mkuu aliyeteuliwa hajaapishwa.

Ni kweli ukisoma Ibara ya 55 ya Katiba ya JMT kifungu kidogo cha kwanza kinasema "Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mjibu wa Ibara ya 54 ya watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri mkuu". Ibara hii inazungumzia pia upatikanaji wa Manaibu Waziri.

Ibara ya 51(1) ya Katiba ya JMT ndiyo inayozungumza kuwa kutakuwa na Waziri Mkuu atakayeteuliwa na Rais na inasema kabla ya kushika madaraka ataapa mbele ya Rais kwa kiapo kitakachohusika na kiti cha Waziri Mkuu kitakachowekwa na Bunge.

Lakini Ibara hiyo hiyo ya 51(2) inasema kuwa. Waziri mkuu huyo hatashika madaraka hayo mpaka kwanza uteuzi wake uwe umethibitishwa na Bunge kwa azimio litakaloungwa mkono na kura za Wabunge waliowengi.

Hivyo wanaodhani Rais amekosea ninadhani Ibara hii ya 51(2) imetoa majibu kuwa pamoja na uapisho utakaofanywa wa Waziri Mkuu, lakini tiyari kile kitendo cha Bunge kumthibitisha na kupewa kiti maalumu cha kukalia basi majukumu yake ya Waziri Mkuu yalikuwa yanaanza pale. Kwa mkutadha huo, uteuzi wa Mawaziri uliofanyika leo haujavunja katiba kwa kuwa tiyari toka jana nchi ilikuwa na Waziri mkuu baada ya bunge kumthibitisha.

Mwisho katiba Ibara ya 37(1) inampa nguvu zaidi Mh Rais nguvu wakati mwingine kutimiza majukumu yake bila kulazimika kuomba au kushauriwa na mtu yeyote isipokuwa atakapotakiwa na katiba hii au.

Ninadhani sasa mliokuwa mumedhamiria kupotosha, mumeelewa. WAZIRI mkuu yupo tangu pale Bunge lilipomuthibitisha na ndio maana toka jana kiti chake Bungeni hakipo wazi.
Kwa hivyo hsutambui kwamba michakato yote hiyo inahitimishwa na kiapo?
Haujui kwamba pamoja na kutangazwa na mengine yote kiapo ndiyo mhuri unao rasimisha mamlaka?
 
Na Elius Ndabila
0768239284

Baada ya Mh Rais kuwateua Mawaziri wawili, yaani Waziri wa Mambo ya nje Prof Kabudi na Waziri wa Fedha Prof Mpango kumezuka watu wanaoandika mtandaoni kuwa Rais amevunja katiba ambayo inasema Rais atateua Mawaziri na Manaibu Mawaziri kwa kushauriana na Waziri mkuu.

Wanaojenga hoja hii, wanasema Mh Rais ameteua Mawaziri akiwa bado hana Waziri mkuu kwa kuwa Waziri Mkuu aliyeteuliwa hajaapishwa.

Ni kweli ukisoma Ibara ya 55 ya Katiba ya JMT kifungu kidogo cha kwanza kinasema "Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mjibu wa Ibara ya 54 ya watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri mkuu". Ibara hii inazungumzia pia upatikanaji wa Manaibu Waziri.

Ibara ya 51(1) ya Katiba ya JMT ndiyo inayozungumza kuwa kutakuwa na Waziri Mkuu atakayeteuliwa na Rais na inasema kabla ya kushika madaraka ataapa mbele ya Rais kwa kiapo kitakachohusika na kiti cha Waziri Mkuu kitakachowekwa na Bunge.

Lakini Ibara hiyo hiyo ya 51(2) inasema kuwa. Waziri mkuu huyo hatashika madaraka hayo mpaka kwanza uteuzi wake uwe umethibitishwa na Bunge kwa azimio litakaloungwa mkono na kura za Wabunge waliowengi.

Hivyo wanaodhani Rais amekosea ninadhani Ibara hii ya 51(2) imetoa majibu kuwa pamoja na uapisho utakaofanywa wa Waziri Mkuu, lakini tiyari kile kitendo cha Bunge kumthibitisha na kupewa kiti maalumu cha kukalia basi majukumu yake ya Waziri Mkuu yalikuwa yanaanza pale. Kwa mkutadha huo, uteuzi wa Mawaziri uliofanyika leo haujavunja katiba kwa kuwa tiyari toka jana nchi ilikuwa na Waziri mkuu baada ya bunge kumthibitisha.

Mwisho katiba Ibara ya 37(1) inampa nguvu zaidi Mh Rais nguvu wakati mwingine kutimiza majukumu yake bila kulazimika kuomba au kushauriwa na mtu yeyote isipokuwa atakapotakiwa na katiba hii au.

Ninadhani sasa mliokuwa mumedhamiria kupotosha, mumeelewa. WAZIRI mkuu yupo tangu pale Bunge lilipomuthibitisha na ndio maana toka jana kiti chake Bungeni hakipo wazi.
Hata mimi siyesoma sheria siwezi andika upuuzi wako. Naona umeandika mawazo yako tu

Kuapa kwa waziri mkuu ni sehemu ya kutimiza sheria ili akamilishe uwaziri wake.
 
Tetea tetea ujinga werevu wanajua unajipendekeza hivyo wanakudharau
 
Yote yanini haya ? Mmeshachukua ushindi kama wote mbona mnaangalia mlikotoka,au kuna kitu mmessahau,ni bora mkapiga tu mbele kwa mbele teuwaneni,chaguaneni kama kuvunja sheria hamkuanza leo wala jana ,huku watu wakisema mnavunja sheria halafu mnarudi kutetea kama kuku aliebanwa na yai,mnaonekana mnawasiwasi kama mnavyokwenda ndivyo,Mi naishauri CCM huu si wakati wa kuangalia nyuma,fanyeni mambo yenu kwa kituo muuzihirishie umma kuwa hamtanii mnaleta umeme hadi vijijini miaka iliyopita tuliziona milioni hamsini kila kijiji ,sasa msibung'ae shida zetu maendeleo tureteeni bana hatuitaji longolongo.
 
Back
Top Bottom