Niwatie moyo mashabiki wa Simba

Niwatie moyo mashabiki wa Simba

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Simba sio timu mbaya, ni timu nzuri mno
Lakini laZima tubaki kwenye lengo mama kuwa tunatengeneza timu.
Timu yetu Bado changa kushindana Kwa ajili ya ubingwa, tusiwape wachezaji wetu pressure

Kuna mashabiki walijidanganya ati wanachukua ubingwa msimu huu

Utachukuaje ubingwa mbele ya Yanga yenye striker mahili kama Dube, Musonda na Mzize

Yanga yenye Azizi ki, Pacome, Max, mudathir
Na timu yetu ina Mpanzu, Ahoua, Chasambi na Mutale

Yanga ina kiungo Chuma kama Aucho na Abuya, Simba Kuna Okajepha na Deborah
Uzani sio sawa

Mabeki kama Job, Bacca, Yao, Boka
Wewe una kapombe, Malon, Hamza na shabalala
Kiukweli Simba kuwa bingwa kwenye ligi yenye wachezaji kama wa Yanga ni dharau kubwa Kwa ligi yetu

Nawasihi Simba wajipe miaka 3 ya kushuka kikosi chao na wala wasiwaze ubingwa

Yanga bingwa
 
Kila timu inafungwa,timu ya ushindani imetolewa ligi ya mabingwa.
 
Ligi bado haijaisha
Simba sio timu mbaya, ni timu nzuri mno
Lakini laZima tubaki kwenye lengo mama kuwa tunatengeneza timu.
Timu yetu Bado changa kushindana Kwa ajili ya ubingwa, tusiwape wachezaji wetu pressure

Kuna mashabiki walijidanganya ati wanachukua ubingwa msimu huu

Utachukuaje ubingwa mbele ya Yanga yenye striker mahili kama Dube, Musonda na Mzize

Yanga yenye Azizi ki, Pacome, Max, mudathir
Na timu yetu ina Mpanzu, Ahoua, Chasambi na Mutale

Yanga ina kiungo Chuma kama Aucho na Abuya, Simba Kuna Okajepha na Deborah
Uzani sio sawa

Mabeki kama Job, Bacca, Yao, Boka
Wewe una kapombe, Malon, Hamza na shabalala
Kiukweli Simba kuwa bingwa kwenye ligi yenye wachezaji kama wa Yanga ni dharau kubwa Kwa ligi yetu

Nawasihi Simba wajipe miaka 3 ya kushuka kikosi chao na wala wasiwaze ubingwa

Yanga bingwa
 
Simba ina wa aibisha marefa, Yaani refa anajituma kuliko wachezaji wanao lipwa mshahara na posho.
 
Poleni wapenzi na mashabiki wa Simba kwa yaliyowakuta leo. Ila kwa kuwa ni msiba wa kujitakia basi hakuna mtu wa nje wa kumlaumu bali wa kulaumiwa ni wachezaji na benchi lenu la ufundi kwa baadhi ya mambo ya kujitakia tu.
1. Tuliwambia viongozi wa Simba hapa jamvini kuwa Simba ina mshambuliaji mmoja tu wa kati Ateba akibanwa au akiamka vibaya au akicheza mechi mfululizo akapata uchovu "fatique" basi siku hiyo ndio ntolee. Mukwala hana hadhi ya kuichezea Simba na sio msaidizi sahihi wa Ateba viongozi waliziba masikio. Ile nafasi ya mwisho Mukwala aliyombabua mpira Ateba angekuwa mchezaji mwingine mwenye akili ya mpira kama Chama hakika angetisha kama anapiga halafu akafinya ndani Ateba na mabeki wakipita yeye angechagua tu taratibu "angle" ya kuupeleka mpira nyavuni.
2. Foutain Gate walikuwa wanakabia juu kwenye mstari wa mwisho toka mwanzoni mwa mchezo lakini maajabu ya Musa mabeki na kipa wanalazimisha waanze mpira nyuma kabisa huku wanajisahau beki wao Che Malone aka Piere Issa aka Nyauba aka Maguire hachelewi kuchomesha. Kila mechi lazima atoe maboko mawili mpaka matatu basi tu timu pinzani hazijawa makini. Benchi la ufundi liwakumbushe wachezaji wa Simba kuwa ni hatari sana kuanza kila mpira ndani ya boksi lako hasa unapocheza na timu inayokabia juu kama ilivyokuwa Fountain Gate. Kama hawajifunza leo basi ipo siku tu yatawakuta makubwa zaidi ya yaliyowakuta leo na watajifunza kwa uchungu mkubwa zaidi ya huu wa leo..
3. Baada ya kuifunga timu ngumu Tabora basi wachezaji na benchi la ufundi wakadharau mechi ya leo. Toka mchezo unaanza hauoni wachezaji wakipambana wapate goli la mapema kama ilivyokuwa mechi iliyopita ya Tabora. Timu ilicheza taratibu sana bila umakini wowote matokeo yake Fountain Gate wakawazoea mechi ikawa ngumu kwa Simba.
4. Benchi la ufundi lilpoamua kucheza na washambuliaji wawili maana yake ilitakiwa mpira sasa uchezewe kwenye goli la Fountain Gate lakini haikuwa hivyo. Haihitajiki uwe kocha wa mpira ili ujue kwamba kitendo cha kutaka kuanzisha mashambulizi nyuma ilikuwa ni kuzidi kupoteza muda bila sababu wakati mbele una Ateba ambaye anaweza kuruka na mabeki wawili hiyo ingetoa nafasi kwa wachezaji wengine wa Simba kufunga. Na bado ikatokea tena nafasi ya kipa kutolewa lakini bado wachezaji wa Simba wakashindwa kutumia hayo mapungufu kwa kuchelewesha mipira kwa washambuliaji. Baada ya kipa wa Fountain Gate kutolewa kilichokuwa kinahitajika ni mipira mingi ya juu ndani ya boksi lao lakini bado Simba ikachagua njia ngumu ya kwanza kuendelea kutengeneza mashambulizi kuanzia nyuma na pili kutaka kupitia pembeni. Hili nalo ni la kushangza maana yake benchi la ufundi la Simba halikujua sababu ya wao wenyewe kucheza na washambuliaji wawili wa kati kwa pamoja.
5. Kuna huyu mchezaji anayeitwa Mutale pale Simba sijui jamaa kaletwa na nani. Yaani Mutale ana nyota kama ilivyokuwa kwa Saidoo. Watu walipiga sana kelele viongozi wakamficha kabatini wakamtoa siku wanacheza na watoto wa Kilimanjaro. Sasa leo timu inahitaji ushindi wa hali na mali benchi la ufundi wakamuingiza halafu kawaumbua mchana kweupe kabisa. Muda mwingi alikuwa anaikaba timu yake.
6. Leo watu wanamlaumu Chasambi lakini mimi sioni sababu ya kumlaumu huyo dogo. Tabia ya kurudisha mpira nyuma ni tabia ya wachezaji wote wa Simba ya kujifanya kama Barcelona. Hebu fikiria mchezaji mzoefu kama Mohamed Hussein anafika kwenye kibendera cha kona huku Ateba yupo kati na ni mzuri kwa vichwa anasubiri mali halafu yeye anarudisha mpira nyuma mpaka unafika kwa kipa wao. Sasa hayo mazoea ya kurudisha mpira nyuma wakati mwingine bila sababu tabia na matokeo yake ndio hayo sasa unamtungua kipa wako bila kutegemea.

Any way poleni Simba mlikuwa mnakimbizwa muda mrefu sana sasa ni wakati wenu wa kujua karaha ya kumkimbiza mtu.


Ni mtizamo tu.
 
Simba sio timu mbaya, ni timu nzuri mno
Lakini laZima tubaki kwenye lengo mama kuwa tunatengeneza timu.
Timu yetu Bado changa kushindana Kwa ajili ya ubingwa, tusiwape wachezaji wetu pressure

Kuna mashabiki walijidanganya ati wanachukua ubingwa msimu huu

Utachukuaje ubingwa mbele ya Yanga yenye striker mahili kama Dube, Musonda na Mzize

Yanga yenye Azizi ki, Pacome, Max, mudathir
Na timu yetu ina Mpanzu, Ahoua, Chasambi na Mutale

Yanga ina kiungo Chuma kama Aucho na Abuya, Simba Kuna Okajepha na Deborah
Uzani sio sawa

Mabeki kama Job, Bacca, Yao, Boka
Wewe una kapombe, Malon, Hamza na shabalala
Kiukweli Simba kuwa bingwa kwenye ligi yenye wachezaji kama wa Yanga ni dharau kubwa Kwa ligi yetu

Nawasihi Simba wajipe miaka 3 ya kushuka kikosi chao na wala wasiwaze ubingwa

Yanga bingwa
Mimi nilitaka kuona presha ambayo yanga wanawapiga Simba kwenye matokeo nilitaka nione je wataweza kuhimili? Hatimaye wametema bungo wenyewe,,kitendo cha yanga kupepesuka kidogo kiliwapa kiburi sana kwamba Wana timu imara ya kubattle na yanga kwenye mbio za ubingwa but walikuwa wanajidanganya kwasababu ukiangalia aina ya kikosi walichonacho yanga,,matulity ya mchezaji mmojammoja,,team work na ubora wa vikosi vyote viwili utaona Simba bado sana kumfikia yanga,,
Na yanga wanacho kikosi kinachoweza kushinda ata mechi kumi mfululizo bila kutikisika but Simba awawezi!
 
Mimi nilitaka kuona presha ambayo yanga wanawapiga Simba kwenye matokeo nilitaka nione je wataweza kuhimili? Hatimaye wametema bungo wenyewe,,kitendo cha yanga kupepesuka kidogo kiliwapa kiburi sana kwamba Wana timu imara ya kubattle na yanga kwenye mbio za ubingwa but walikuwa wanajidanganya kwasababu ukiangalia aina ya kikosi walichonacho yanga,,matulity ya mchezaji mmojammoja,,team work na ubora wa vikosi vyote viwili utaona Simba bado sana kumfikia yanga,,
Na yanga wanacho kikosi kinachoweza kushinda ata mechi kumi mfululizo bila kutikisika but Simba awawezi!
Unajua sana kuchambua boli
 
Kabisa mm ni simba ila umechambua kila kitu kweli inakuwaje shabalala anarudisha mipira nyuma jana nashangaa timu inataka gold ety inanza pasi nyuma baada ya mipir mirefu dah sioni umuhimu wa wachezaji nguli kina mohd huseni na shomar hata kuwasemea wenzao wafanye nn
Unajua sana kuchambua bolka
 
Back
Top Bottom