Ata mm niliingia nipate chimbo jipya la spensaspensa ndo nini au suspension
Pimping how mkuu?
Siyo Spensa ni Spacer nafikirispensa ndo nini au suspension
tumia spacer ndio njia rahisi na itayodumu adi pale utakapo amua kuzitoa mana kuna watu wengine huwa wanapenda gari iwe chini.Mbona hawafiki hawo wataalamu
Utoto Raha sanaaa!!! Mwenyewe unajiona bonge la mjanjaaaHakuna Mtanzania mwenye Vitz New model. Sema una gari ya zamani
Funga spacer inch 1 tu, tatizo kwisha. Dar kila moja ni Tsh. 5000- 7000 hapo Ilala.Habari wadau nina gari Vitz New model lakin ipo chini sana ukipita kwenye tuta kubwa au rough road yenye mabonde mabonde lazima iguse chini! Najua humu kuna wataalam wa haya mambo mimi sio mtaalam kabisa wa ma gari!
Katika kutafuta ushauri wa hili swala wengine wameniambia niweke spensa ili gari inyanyuke kidogo wengine wanasema niweke shokap zipo za kisasa gari haigusi chini tena
Naomba ushauri wataalam katika hili