OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yule mido mchungu anayepiga pasi za kunyoosha kwa rula,sasa ni rasmi ametua Simba kama tetesi zilivyoeleza hapo awali!
Uongozi wa Simba umekamilisha taratibu na jina kutumwa TFF. Prof huyo wa Kirundi anatarajiwa kuungana na kikosi cha Simba "Taifa Stars" kilichoweka kambi South Afrika kwa ajili ya mechi za kirafiki kujiandaa na VPL
Asante sana
Uongozi wa Simba umekamilisha taratibu na jina kutumwa TFF. Prof huyo wa Kirundi anatarajiwa kuungana na kikosi cha Simba "Taifa Stars" kilichoweka kambi South Afrika kwa ajili ya mechi za kirafiki kujiandaa na VPL
Asante sana