OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wana Boko[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Pasi za ruler zilikuwa zina work out kwa Msuva.Chirwa na Ngoma...watu kama hao wako Simba?
Yule mido mchungu anayepiga pasi za kunyoosha kwa rula,sasa ni rasmi ametua Simba kama tetesi zilivyoeleza hapo awali!
Uongozi wa Simba umekamilisha taratibu na jina kutumwa TFF. Prof huyo wa Kirundi anatarajiwa kuungana na kikosi cha Simba "Taifa Stars" kilichoweka kambi South Afrika kwa ajili ya mechi za kirafiki kujiandaa na VPL
Asante sana
Yupo yule MHENGA wa KigandaPasi za ruler zilikuwa zina work out kwa Msuva.Chirwa na Ngoma...watu kama hao wako Simba?
Huyu Niyonzima c mrundi ni mnyarwanda kutoka hapo ChatoYule mido mchungu anayepiga pasi za kunyoosha kwa rula,sasa ni rasmi ametua Simba kama tetesi zilivyoeleza hapo awali!
Uongozi wa Simba umekamilisha taratibu na jina kutumwa TFF. Prof huyo wa Kirundi anatarajiwa kuungana na kikosi cha Simba "Taifa Stars" kilichoweka kambi South Afrika kwa ajili ya mechi za kirafiki kujiandaa na VPL
Asante sana
Miaka yote mlikuwa nae hukulijua hilo? siipendi Yanga but fundi Haruna alikuwa akipata mpira roho inalipuka unajua lolote linaweza kutokeaSimba bhana yaan nmaacha kupora injini ya timu mnachukua mcheza freestyle uwanjani !!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi kwa nini Simba tumemwacha Bokungu wakati Kapombe siku hizi ni mzee wa kuumia
Sio Kapombe tu, Hata Boko itakuwa itakuwa mwendo huo huo. Azam sio wajinga. Wanajua wanafanya nini. Wanazo report za madaktari wa South Africa. Ilikuwa bado muingie chaka kwa Donald Ngomahivi kwa nini Simba tumemwacha Bokungu wakati Kapombe siku hizi ni mzee wa kuumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah kama hadi mdau wa Simba kama wewe huna taarifa yakinifu, basi hii habari tuipuuzie...Hii ina ukweli au ni habari za kuuzia magazeti??