mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
Wakuu habari zenu kwa habari za kunyapianyapia zinasema yule fundi wa mpira kutokea kwa kagame Haruna Niyonzima aka Fabregas anatarajiwa kujiunga na timu ya Yanga kwa mara nyingine tena ndani ya siku 2 deal itakuwa imekamilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app