Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mtu mwingine anajenga mpaka Nyumba maeneo hayo .Hadi vijijini watu hawajali tena kuhusu miundo mbinu.
Wizara husika chukueni hatua kwa haraka mkichelewa mtavuna mabua.
Anaanza na mahindi kesho atakuja na nini?Acha ramli chonganishe wewe hapo kuna uharibifu gani? Umesikia amepanda miwa hiyo ama mikaratusi. Ukiona hivyo hakuna cha garimoshi tena. Uchaguzi umeisha.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Huyo sio mjinga mpaka amepanda hakuna matumizi tena hapo kwani unadhani ni mjinga kama wewe unatafuta uteuzi. Mbwembwe nyingi hakuna. Halafu sema hapo ni wapi.Anaanza na mahindi kesho atakuja na nini?
Wapo wengi waliojenga juu ya reliHapa mtu mwingine anajenga mpaka Nyumba maeneo hayo .
SawaThat's isn't a big deal kabisa
Tumahindi tuwili natwo twa kufungulia thread jamani, ingekua ni plantation heka 10 na zaidi it could make some sense
Anataka kulazimisha tuone kuwa miundombinu inahujumiwa hopeless kbs.That's isn't a big deal kabisa
Tumahindi tuwili natwo twa kufungulia thread jamani, ingekua ni plantation heka 10 na zaidi it could make some sense
Hii itakuwa Dodoma, naona huo ni ulezi wa kupandikiza na miamba kwa mbaaali. Mazingira ya Dom kabisa hayo.Hadi vijijini watu hawajali tena kuhusu miundo mbinu.
Wizara husika chukueni hatua kwa haraka mkichelewa mtavuna mabua.
Kabisa mkuu ni kitu kidogo mnoAnataka kulazimisha tuone kuwa miundombinu inahujumiwa hopeless kbs.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Sawa
Anataka kulazimisha tuone kuwa miundombinu inahujumiwa hopeless kbs.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app