Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Nimekuwa nikisikia miaka ya 1978 kulikuwa na njaa,je hiyo njaa kulikuwa hakuna mvua na ukame ulizidi
?au vita vya Uganda na Tanzania ndo sababu?au mfumo wa ujamaa wa Mwalimu Nyerere ulichangia?
Hebu wenye ufahamu mnisaidie maana enzi hizo wengine hatukwepo!
?au vita vya Uganda na Tanzania ndo sababu?au mfumo wa ujamaa wa Mwalimu Nyerere ulichangia?
Hebu wenye ufahamu mnisaidie maana enzi hizo wengine hatukwepo!