DOKEZO Njaa na madeni kwa vibarua Tanesco Shinyanga mjini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

lunch_skiper

Member
Joined
Mar 11, 2025
Posts
5
Reaction score
2
Wakuu mamlaka husika fikeni TANESCO SHINYANGA MJINI vibarua wanapitia changamoto sana hakuna mfumo rasmi wa malipo ni miezi miwili hawajalipwa na hawajui watalipwa lini inglieni kati kuboresha maslahi yao njaa na madeni zinawaumiza ukizingatia ni kazi ngumu wakipitishwa tandale kwenye makande wengne huzubaa tu wanakosa hata shilingi 600 ipo siku mtu ata KUFA kwa kupondwa nguzo njaa ni HATARI kwa kazi hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…