Kwenye Mke/Mme inategemea, Tho si kila ndoa ni Utapeli
Wapo watu wanaingia kwenye mahusiano wakimaanisha, Kwenye shida wanabebana na kuvumiliana like nothing.
Tatizo KE wengi wana IQ ndogo, Tamaa, Ushamba, Njaa na hivi ndo sababu iliyopelekea waungana wengi waamini ndoa ni Utapeli uliochangamka .