Meanwhile JPM anasambaza maji mpaka kwa wanyama kwenye maeneo ya wafugaji wanayokumbwa na ukame
Note, hili eneo Wakenya walikuwa wakiingiza mifugo yao kwa wingi sana kutokana na mipango mibovu ya serikali yao kwenye matumizi bora ya ardhi na ufinyu wa ufikiri wa viongozi kuhudumia wananchi wao