Ninasikia njaa kila baada ya saa moja, baada ya kumaliza kula chakula, nimekunywa dawa za minyoo haijanisaidia, naombeni mnisaidie maana maisha na bajeti ya sasa hayaendi.
Hakikisha kila nusu saa kabla ya mlo wowote unakunywa maji ya kawaida (siyo ya baridi) vikombe 2 (ml 500), subiri mpaka nusu saa ipite ndipo ule chakula. Bonyeza link ifuatayo ukajifunze namna njaa hutokea mwilini uzito na unene kupita kiasi | maajabu ya majiNinasikia njaa kila baada ya saa moja, baada ya kumaliza kula chakula, nimekunywa dawa za minyoo haijanisaidia, naombeni mnisaidie maana maisha na bajeti ya sasa hayaendi.