Nyendo JF-Expert Member Joined Jun 4, 2017 Posts 1,336 Reaction score 4,731 Jan 22, 2024 #1 Ni muda mrefu sana zimesikaka sauti za watu wakipaza kuwepo na mgombea binafsi, mgombea ambaye hana chama chochote cha siasa. Je, katiba ingeruhusu jambo hili nini kingetokea? Au ni faidi zipi Taifa lingepata? Hebu waza nje ya box kisha tiririka.
Ni muda mrefu sana zimesikaka sauti za watu wakipaza kuwepo na mgombea binafsi, mgombea ambaye hana chama chochote cha siasa. Je, katiba ingeruhusu jambo hili nini kingetokea? Au ni faidi zipi Taifa lingepata? Hebu waza nje ya box kisha tiririka.