Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
1.Fungua youtube channel
-Hapa focus kwene kipaji chako, waonyeshe au waambie watu kuhusu kipaji chako.
Kama n mbea pia uwe unaongelea watu maarufu
2.Uza vitu/bidhaa
-Kam huna mtaji anza kuuza vitu kama makopo ya kuotota ,vyuma chakavu
-kama unamtaji tafuta bidhaa peleka sehemu ambayo inauzika
-kama una mashamba au ardhi waweza uza pia ukapata mtaji
3.Promote watu maarufu
-kama huna wazo lolote na unamdomo basi anza kuwasifia watu maarufu
-Watu wenye hela hasa wanasiasa wasifie waongelee vizuri kwene uma kupitia mitandao ya kijamii, au sehemu yyte utayosikika
4.Fanya kazi uliyosomea
-kama umesomea fun au kazi fulani professional ifanye ila ifanye kwa weredi mkubwa
-Jioneshe unajua na saidia uma hakikisha unapiga hela zaidi ya mshahara wako kwa kuongea vipindi kwa redio au social media
5.Fanya uwekezaji
Wekeza kwenye ardhi si kila sehemu nunua sehemu yenye uhakika wa kukua mfano kwene mji mdogo,barabarani,sehemu ambayo serikali ina mpango wa kufanya mradi au ujenzi wa soko au stend
-Wekeza kwene fixed acc
-wekeza kwene hisa kama UTT
-Wekeza kwene makampuni yenye historia ya kufanya vizuri kama Vodacome
6.Fanya Kilimo
-kama ni mtaalamu wa kilimo basi lima zao ambalo bei zake n za uhakika kama mbaazi,viazi,korosho,karanga
Na mengineyo kulingana na upembuzi wako
7.Jikite kutatua Shida za wenye hela
-kama huna idea au vyote hapo juu basi wewe wafuatilie watu wenye hela na ujue wana hitaji nini.
Halafu fahamu wapi,nani na namna ya kuwatatulia basi hapo utapata hela ya kutosha hasa ukiweza kutatua matatizo ambayo wengi wanashindwa kutatua
mfano: Matajiri wengi huwa wanahangaika kupata watu waaminifu wa kusimamia au kuwaweka makazini.
Wewe unaweza kuwaunganisha na watu hao,
8.Anzisha kampuni ya kufanya kazi zinazokimbiwa au kuogopa
-Kuzibua vyoo
-kuosha maiti
-kusafisha mizoga
-Kuzoa taka
-kukusanya nailon
9.Bahati na sibu
-Kama wewe ndio wale wenye vismart bas fanya betting lakin usisubiri had matokeo ya mwisho hakikisha una CASH OUT kabla mechi hazijaisha
hata kama kuna timu moja ndio imebaki funga mkeka
hakikisha kila wiki unaingiza lak 5 chamsingi usiwe na tamaa ya kula mkeka wote
INAENDELEA PAG2…..
-Hapa focus kwene kipaji chako, waonyeshe au waambie watu kuhusu kipaji chako.
Kama n mbea pia uwe unaongelea watu maarufu
2.Uza vitu/bidhaa
-Kam huna mtaji anza kuuza vitu kama makopo ya kuotota ,vyuma chakavu
-kama unamtaji tafuta bidhaa peleka sehemu ambayo inauzika
-kama una mashamba au ardhi waweza uza pia ukapata mtaji
3.Promote watu maarufu
-kama huna wazo lolote na unamdomo basi anza kuwasifia watu maarufu
-Watu wenye hela hasa wanasiasa wasifie waongelee vizuri kwene uma kupitia mitandao ya kijamii, au sehemu yyte utayosikika
4.Fanya kazi uliyosomea
-kama umesomea fun au kazi fulani professional ifanye ila ifanye kwa weredi mkubwa
-Jioneshe unajua na saidia uma hakikisha unapiga hela zaidi ya mshahara wako kwa kuongea vipindi kwa redio au social media
5.Fanya uwekezaji
Wekeza kwenye ardhi si kila sehemu nunua sehemu yenye uhakika wa kukua mfano kwene mji mdogo,barabarani,sehemu ambayo serikali ina mpango wa kufanya mradi au ujenzi wa soko au stend
-Wekeza kwene fixed acc
-wekeza kwene hisa kama UTT
-Wekeza kwene makampuni yenye historia ya kufanya vizuri kama Vodacome
6.Fanya Kilimo
-kama ni mtaalamu wa kilimo basi lima zao ambalo bei zake n za uhakika kama mbaazi,viazi,korosho,karanga
Na mengineyo kulingana na upembuzi wako
7.Jikite kutatua Shida za wenye hela
-kama huna idea au vyote hapo juu basi wewe wafuatilie watu wenye hela na ujue wana hitaji nini.
Halafu fahamu wapi,nani na namna ya kuwatatulia basi hapo utapata hela ya kutosha hasa ukiweza kutatua matatizo ambayo wengi wanashindwa kutatua
mfano: Matajiri wengi huwa wanahangaika kupata watu waaminifu wa kusimamia au kuwaweka makazini.
Wewe unaweza kuwaunganisha na watu hao,
8.Anzisha kampuni ya kufanya kazi zinazokimbiwa au kuogopa
-Kuzibua vyoo
-kuosha maiti
-kusafisha mizoga
-Kuzoa taka
-kukusanya nailon
9.Bahati na sibu
-Kama wewe ndio wale wenye vismart bas fanya betting lakin usisubiri had matokeo ya mwisho hakikisha una CASH OUT kabla mechi hazijaisha
hata kama kuna timu moja ndio imebaki funga mkeka
hakikisha kila wiki unaingiza lak 5 chamsingi usiwe na tamaa ya kula mkeka wote
INAENDELEA PAG2…..