J JamiiTalks JF Advocacy Team Joined Aug 7, 2018 Posts 685 Reaction score 1,124 Apr 9, 2021 #1 Njia hizi Mzazi anaweza kuzifuata ili kumuwekea mazingira salama mwanae akiwa mtandaoni 1. Muwekee muda wa matumizi ya mtandao. Ni muda gani anaruhusiwa kutumia na muda gani haruhusiwi 2. Fuatilia anachofanya mtoto akiwa mtandaoni, ni maudhui gani hufuatilia na je, yanafaa? 3. Weka sheria katika matumizi ya mitandao ya kijamii 4. Zifahamu tovuti anazotembelea mwanao akiwa mtandaoni, na uweke vikwazo kwa baadhi ya tovuti kutozitumia. Upvote 2
Njia hizi Mzazi anaweza kuzifuata ili kumuwekea mazingira salama mwanae akiwa mtandaoni 1. Muwekee muda wa matumizi ya mtandao. Ni muda gani anaruhusiwa kutumia na muda gani haruhusiwi 2. Fuatilia anachofanya mtoto akiwa mtandaoni, ni maudhui gani hufuatilia na je, yanafaa? 3. Weka sheria katika matumizi ya mitandao ya kijamii 4. Zifahamu tovuti anazotembelea mwanao akiwa mtandaoni, na uweke vikwazo kwa baadhi ya tovuti kutozitumia.