Hamissi Hamza Jr
Senior Member
- Apr 16, 2020
- 103
- 209
Mauajia yahusishayo wivu wa kimapenzi limekuwa Janga kubwa kwa Jamii na Nchi kwa ujumla,Inasikitisha kuona wivu wa kimapenzi ukiteketeza nguvu kazi ya Taifa Kwa vijana kuwa Wahanga wa Janga hili".
Kwa Pamoja tunaweza Punguza tatizo hili kwa kutumia njia zifuatazo,
BAADHI YA DINI ZISIZORUHUSU TALAKA WALITIZAME UPYA SUALA LA TALAKA,
Imefika wakati wa wao kuruhusu uwepo wa taraka Hasa baada ya suruhu kwa wanandoa kukosekana baina yao, Upendo unapofika kikomo hua namna tena ya kuwarudisha kama Mwanzo,Watu wasio Na Upendo kuishi pamoja ni Hatari.
WAZAZI WASIWABEBESHE WATOTO WAO MIZIGO YA UVUMILIVU,
Ni kawaida kwa wazazi wa wana ndoa kuwapa moyo kuendelea na ndoa iliyo na changamoto za kiutu zisizo vumilika kama vipigo na manyanyaso ya kimwili na kihisia,
Hii ni hatari wazazi waelewe hakuna uvumilivu wa vipigo na manyanyaso kuna uvumilivu wa changamoto zingine na za utafutaji wa maisha na si vipigo ikifikia hatua hii wasiwafukuze watoto wao wanaporejea nyumbani kwa kuwarudisha walikotoka.
SEREKALI IONDOE DHAMANA KWA WAHUSIKA WA UNYANYASAJI WA KINJISIA NA MAUAJI,
Serikali iitizame upya sheria ya kuruhusu dhamana kwa wahusika na ioiondoe Maana huishia kumalizana nje na wahanga kwa kuwalipa au kukimbia,
VIJANA WASIINGIE KWENYE UCHUMBA NA NDOA KWA MANUFAA YAO BINAFSI,
Mwisho na Washauri vijana Wenzangu wasiingie kwenye uchumba na ndoa na mtu usie na malengo naye ya kiupendo Maana Huwa Na Mwisho Mbaya,Pia Kama Mkiona Hakuna Upendo kama ilivyo kuwa Mwanzo Njia Bora na Salama ya kuachana ni kutoa Taraka.
Pigia kura uzi huu kama sehemu ya Harakati za pamoja kupunguza mauaji ya yahusishayo wivu wa kimapenzi yanarudisha maendeleo ya Familia,Jamii na Taifa kwa Ujumla".
Kwa Pamoja tunaweza Punguza tatizo hili kwa kutumia njia zifuatazo,
BAADHI YA DINI ZISIZORUHUSU TALAKA WALITIZAME UPYA SUALA LA TALAKA,
Imefika wakati wa wao kuruhusu uwepo wa taraka Hasa baada ya suruhu kwa wanandoa kukosekana baina yao, Upendo unapofika kikomo hua namna tena ya kuwarudisha kama Mwanzo,Watu wasio Na Upendo kuishi pamoja ni Hatari.
WAZAZI WASIWABEBESHE WATOTO WAO MIZIGO YA UVUMILIVU,
Ni kawaida kwa wazazi wa wana ndoa kuwapa moyo kuendelea na ndoa iliyo na changamoto za kiutu zisizo vumilika kama vipigo na manyanyaso ya kimwili na kihisia,
Hii ni hatari wazazi waelewe hakuna uvumilivu wa vipigo na manyanyaso kuna uvumilivu wa changamoto zingine na za utafutaji wa maisha na si vipigo ikifikia hatua hii wasiwafukuze watoto wao wanaporejea nyumbani kwa kuwarudisha walikotoka.
SEREKALI IONDOE DHAMANA KWA WAHUSIKA WA UNYANYASAJI WA KINJISIA NA MAUAJI,
Serikali iitizame upya sheria ya kuruhusu dhamana kwa wahusika na ioiondoe Maana huishia kumalizana nje na wahanga kwa kuwalipa au kukimbia,
VIJANA WASIINGIE KWENYE UCHUMBA NA NDOA KWA MANUFAA YAO BINAFSI,
Mwisho na Washauri vijana Wenzangu wasiingie kwenye uchumba na ndoa na mtu usie na malengo naye ya kiupendo Maana Huwa Na Mwisho Mbaya,Pia Kama Mkiona Hakuna Upendo kama ilivyo kuwa Mwanzo Njia Bora na Salama ya kuachana ni kutoa Taraka.
Pigia kura uzi huu kama sehemu ya Harakati za pamoja kupunguza mauaji ya yahusishayo wivu wa kimapenzi yanarudisha maendeleo ya Familia,Jamii na Taifa kwa Ujumla".
Upvote
0