Njia gani ni ya shotcurt sana kupata kibali cha kufuga kwale na kanga

Njia gani ni ya shotcurt sana kupata kibali cha kufuga kwale na kanga

SEPO

Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
53
Reaction score
16
Tafadhalini sana nilisoma hapa kweny jamvi mmoja wa wanajamvi alisema aigundua njia rahisi sana na shortcourt kupata kibali cha kufug kwale na kanga maliasili hapaTanzania. Nnaombeni sana nisaidieni namii niitumie nami kupatakibali wakuuuu tafadhali sanaa bwana chasha na 1800 na wote
 
Back
Top Bottom