Njia gani salama??

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Wadau, kuna jamaa yangu anataka kunitumia parcel toka UK.

Nilitaka kufahamu njia gani salama na ya uhakika ya kutuma mzigo kwa hapa TZ manake kuna wakati jaama walinitumia Posta wakafungua na kuchakachua baadhi ya mizigo.

Nitashukuru kwa ushirikiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…