Njia gani simple ya kuzuia ule unga kwenye terminals za betri ya gari?

Njia gani simple ya kuzuia ule unga kwenye terminals za betri ya gari?

Mama Debora

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2018
Posts
1,482
Reaction score
2,600
Jana nilipaki gari yangu mahali kama dakika tano hivi nikashuka kununua matunda.

Kurudi nawasha gari inatoa mlio krrrrr lakini starter haipigi. Kifupi haikuwaka. Hangaika sana pale.

Nikasema si nilikua naiendesha sasa hivi? What happened... Nikashuka nikafungua boneti, nikachek Coolant ipo ya kutosha (sema mfuniko ulikua wa moto ule)

Nikachek Oil. ATF na ilimradi nijifanye nasolve tatizo, sikutaka wale wakaka pembeni pale waje wanizunguke kunipa msaada.

Baada ya kuchek kila kitu, bado gari haiwaki. Nikalazimika kuomba msaada. Nikasubiri amebaki mkaka mmoja, nikamuita. Nikamueleza situation.

Yeye alipofika tu kwenye boneti akawasha tochi (ilikua usiku) akachek sekunde kumi hivi kisha akasema "una spana namba kumi?" Nikamwambia sina. Basi akasema "ngoja nakuja"

Fasta akaja na spana moja ba Pliers moja na chupa ya maji. Akafungua terminal moja ya betri ilikua imejaa ungaunga mweupe/kijani.

Akaosha pale kwenye terminal, akaosha na ile connector kwa yale maji. Kisha akarudisha terminal. Akasema "washa gari". Nikawasha ikawaka. Ndio akaniambia tatizo ni hii Carbon ilikua imejaa kwenye terminal ya positive. Uwe unapaosha na maji kila baada ya mwezi.

Nikamuuliza hakuna njia ya kudumu? Akasema yeye hajui.

Jamani huo ungaunga kuna njia simple and permanent kuzuia usijae pale? Nyie mabetri ya magari yenu hayajawahi kuwa na ungaunga? Ama ni dalili ya betri kufa?

Screenshot_20201205-122213_1607160165222.jpg
 
Jana nilipaki gari yangu mahali kama dakika tano hivi nikashuka kununua matunda.

Kurudi nawasha gari inatoa mlio krrrrr lakini starter haipigi. Kifupi haikuwaka. Hangaika sana pale.

Nikasema si nilikua naiendesha sasa hivi? What happened... Nikashuka nikafungua boneti, nikachek Coolant ipo ya kutosha (sema mfuniko ulikua wa moto ule)

Nikachek Oil. ATF na ilimradi nijifanye nasolve tatizo, sikutaka wale wakaka pembeni pale waje wanizunguke kunipa msaada.

Baada ya kuchek kila kitu, bado gari haiwaki. Nikalazimika kuomba msaada. Nikasubiri amebaki mkaka mmoja, nikamuita. Nikamueleza situation.

Yeye alipofika tu kwenye boneti akawasha tochi (ilikua usiku) akachek sekunde kumi hivi kisha akasema "una spana namba kumi?" Nikamwambia sina. Basi akasema "ngoja nakuja"

Fasta akaja na spana moja ba Pliers moja na chupa ya maji. Akafungua terminal moja ya betri ilikua imejaa ungaunga mweupe/kijani.

Akaosha pale kwenye terminal, akaosha na ile connector kwa yale maji. Kisha akarudisha terminal. Akasema "washa gari". Nikawasha ikawaka. Ndio akaniambia tatizo ni hii Carbon ilikua imejaa kwenye terminal ya positive. Uwe unapaosha na maji kila baada ya mwezi.

Nikamuuliza hakuna njia ya kudumu? Akasema yeye hajui.

Jamani huo ungaunga kuna njia simple and permanent kuzuia usijae pale? Nyie mabetri ya magari yenu hayajawahi kuwa na ungaunga? Ama ni dalili ya betri kufa?

View attachment 1642098
Pole kwa mkasa..
BETRI ikishaanza kujaza carbon namna hiyo hakuna njia ya kuizuia moja kwa moja..

Hiyo ni dalili kuwa acid inavuja kiasi kidogo kidogo na hii ni tabia ya betri nyingi za maji..

Ukitaka uondokana na kadhia hiyo next time nunua zile zisizoongezwa maji utakuwa umeepukana na hiyo kero..(maarufu kama dry cell)

Au kama ni betri ya kuongeza maji, terminal zikilegea kaza kwa spana, usiruhusu fundi agonge gonge kwa nyundo au chuma chochote...akifanya hivyo analegeza terminal pale ilipojishika kwenye kava la betri hivyo acid inapata njia ya kutokea....

Lakini na wewe mama Debora kwa nini unashika mfuniko wa radiator bila kitambaa..?Si ungeniita nije..[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Jana nilipaki gari yangu mahali kama dakika tano hivi nikashuka kununua matunda.

Kurudi nawasha gari inatoa mlio krrrrr lakini starter haipigi. Kifupi haikuwaka. Hangaika sana pale.

Nikasema si nilikua naiendesha sasa hivi? What happened... Nikashuka nikafungua boneti, nikachek Coolant ipo ya kutosha (sema mfuniko ulikua wa moto ule)

Nikachek Oil. ATF na ilimradi nijifanye nasolve tatizo, sikutaka wale wakaka pembeni pale waje wanizunguke kunipa msaada.

Baada ya kuchek kila kitu, bado gari haiwaki. Nikalazimika kuomba msaada. Nikasubiri amebaki mkaka mmoja, nikamuita. Nikamueleza situation.

Yeye alipofika tu kwenye boneti akawasha tochi (ilikua usiku) akachek sekunde kumi hivi kisha akasema "una spana namba kumi?" Nikamwambia sina. Basi akasema "ngoja nakuja"

Fasta akaja na spana moja ba Pliers moja na chupa ya maji. Akafungua terminal moja ya betri ilikua imejaa ungaunga mweupe/kijani.

Akaosha pale kwenye terminal, akaosha na ile connector kwa yale maji. Kisha akarudisha terminal. Akasema "washa gari". Nikawasha ikawaka. Ndio akaniambia tatizo ni hii Carbon ilikua imejaa kwenye terminal ya positive. Uwe unapaosha na maji kila baada ya mwezi.

Nikamuuliza hakuna njia ya kudumu? Akasema yeye hajui.

Jamani huo ungaunga kuna njia simple and permanent kuzuia usijae pale? Nyie mabetri ya magari yenu hayajawahi kuwa na ungaunga? Ama ni dalili ya betri kufa?

View attachment 1642098
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😄🖐😄😄😄🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤩🤣🤣🤣🤣🤣

Kweli JF burudani.

Eti gari imeshindwa kuwaka nikacheck coolant😄😄😄🤣

Siku nyingine usije ukathubutu kufungua mfuniko wa radiator (rejeta ya maji) gari linawaka au engine/injini haijapoa. Uso wote na sura utaiacha hapo kama vile umemwagiwa maji ya moto na mke mwenza.

Kama haufahamu kitu kubali tu kuwa mshamba upate msaada.

Wengine hupaka grease/grisi kwenye terminal ili kupunguza ujaani wa carbon. Ila hakikisha terminal zako zimekaza na pendelea betrii kavu.
 
Hiyo carbon ikijaa, huwa tunasafisha kwa kutumia soda ya coca-cola. Baada ya hapo, hiyo terminal inawekewa 'grisi'. As long as hiyo 'grisi' itakuwa hapo, hutoona tena carbon ikijaa kwenye hiyo terminal.
 
Jana nilipaki gari yangu mahali kama dakika tano hivi nikashuka kununua matunda.

Kurudi nawasha gari inatoa mlio krrrrr lakini starter haipigi. Kifupi haikuwaka. Hangaika sana pale.

Nikasema si nilikua naiendesha sasa hivi? What happened... Nikashuka nikafungua boneti, nikachek Coolant ipo ya kutosha (sema mfuniko ulikua wa moto ule)

Nikachek Oil. ATF na ilimradi nijifanye nasolve tatizo, sikutaka wale wakaka pembeni pale waje wanizunguke kunipa msaada.

Baada ya kuchek kila kitu, bado gari haiwaki. Nikalazimika kuomba msaada. Nikasubiri amebaki mkaka mmoja, nikamuita. Nikamueleza situation.

Yeye alipofika tu kwenye boneti akawasha tochi (ilikua usiku) akachek sekunde kumi hivi kisha akasema "una spana namba kumi?" Nikamwambia sina. Basi akasema "ngoja nakuja"

Fasta akaja na spana moja ba Pliers moja na chupa ya maji. Akafungua terminal moja ya betri ilikua imejaa ungaunga mweupe/kijani.

Akaosha pale kwenye terminal, akaosha na ile connector kwa yale maji. Kisha akarudisha terminal. Akasema "washa gari". Nikawasha ikawaka. Ndio akaniambia tatizo ni hii Carbon ilikua imejaa kwenye terminal ya positive. Uwe unapaosha na maji kila baada ya mwezi.

Nikamuuliza hakuna njia ya kudumu? Akasema yeye hajui.

Jamani huo ungaunga kuna njia simple and permanent kuzuia usijae pale? Nyie mabetri ya magari yenu hayajawahi kuwa na ungaunga? Ama ni dalili ya betri kufa?

View attachment 1642098
Kwanza ule ungaunga siyo Carbon. Hakuna Carbon ipo vile. Kama ilikuwa na rangi ni Copper Sulphate kama Ulikuwa mweupe ni Lead Sulphate.

Battery nyingi zikishaanza kuvuka timeline ya three years huwa zina tabia hiyo. Na ndio dalili ya Battery kuelekea kufa.

Kama battery yako haijavuka 3 years kuna uwezekano Battery yako inakuwa Overcharged au undercharged. Hayo mawili pia huwa yanapelekea kutokea kwa huo unga.
 
Jana nilipaki gari yangu mahali kama dakika tano hivi nikashuka kununua matunda.

Kurudi nawasha gari inatoa mlio krrrrr lakini starter haipigi. Kifupi haikuwaka. Hangaika sana pale.

Nikasema si nilikua naiendesha sasa hivi? What happened... Nikashuka nikafungua boneti, nikachek Coolant ipo ya kutosha (sema mfuniko ulikua wa moto ule)

Nikachek Oil. ATF na ilimradi nijifanye nasolve tatizo, sikutaka wale wakaka pembeni pale waje wanizunguke kunipa msaada.

Baada ya kuchek kila kitu, bado gari haiwaki. Nikalazimika kuomba msaada. Nikasubiri amebaki mkaka mmoja, nikamuita. Nikamueleza situation.

Yeye alipofika tu kwenye boneti akawasha tochi (ilikua usiku) akachek sekunde kumi hivi kisha akasema "una spana namba kumi?" Nikamwambia sina. Basi akasema "ngoja nakuja"

Fasta akaja na spana moja ba Pliers moja na chupa ya maji. Akafungua terminal moja ya betri ilikua imejaa ungaunga mweupe/kijani.

Akaosha pale kwenye terminal, akaosha na ile connector kwa yale maji. Kisha akarudisha terminal. Akasema "washa gari". Nikawasha ikawaka. Ndio akaniambia tatizo ni hii Carbon ilikua imejaa kwenye terminal ya positive. Uwe unapaosha na maji kila baada ya mwezi.

Nikamuuliza hakuna njia ya kudumu? Akasema yeye hajui.

Jamani huo ungaunga kuna njia simple and permanent kuzuia usijae pale? Nyie mabetri ya magari yenu hayajawahi kuwa na ungaunga? Ama ni dalili ya betri kufa?

View attachment 1642098
Kwanza ule ungaunga siyo Carbon. Hakuna Carbon ipo vile. Kama ilikuwa na rangi ni Copper Sulphate kama Ulikuwa mweupe ni Lead Sulphate.

Battery nyingi zikishaanza kuvuka timeline ya three years huwa zina tabia hiyo. Na ndio dalili ya Battery kuelekea kufa.

Kama battery yako haijavuka 3 years kuna uwezekano Battery yako inakuwa Overcharged au undercharged. Hayo mawili pia huwa yanapelekea kutokea kwa huo unga.

Tafuta mtu akague kama kuna overcharge au undercharge.

Au nicheck 0621 221 606.
 
Jana nilipaki gari yangu mahali kama dakika tano hivi nikashuka kununua matunda.

Kurudi nawasha gari inatoa mlio krrrrr lakini starter haipigi. Kifupi haikuwaka. Hangaika sana pale.

Nikasema si nilikua naiendesha sasa hivi? What happened... Nikashuka nikafungua boneti, nikachek Coolant ipo ya kutosha (sema mfuniko ulikua wa moto ule)

Nikachek Oil. ATF na ilimradi nijifanye nasolve tatizo, sikutaka wale wakaka pembeni pale waje wanizunguke kunipa msaada.

Baada ya kuchek kila kitu, bado gari haiwaki. Nikalazimika kuomba msaada. Nikasubiri amebaki mkaka mmoja, nikamuita. Nikamueleza situation.

Yeye alipofika tu kwenye boneti akawasha tochi (ilikua usiku) akachek sekunde kumi hivi kisha akasema "una spana namba kumi?" Nikamwambia sina. Basi akasema "ngoja nakuja"

Fasta akaja na spana moja ba Pliers moja na chupa ya maji. Akafungua terminal moja ya betri ilikua imejaa ungaunga mweupe/kijani.

Akaosha pale kwenye terminal, akaosha na ile connector kwa yale maji. Kisha akarudisha terminal. Akasema "washa gari". Nikawasha ikawaka. Ndio akaniambia tatizo ni hii Carbon ilikua imejaa kwenye terminal ya positive. Uwe unapaosha na maji kila baada ya mwezi.

Nikamuuliza hakuna njia ya kudumu? Akasema yeye hajui.

Jamani huo ungaunga kuna njia simple and permanent kuzuia usijae pale? Nyie mabetri ya magari yenu hayajawahi kuwa na ungaunga? Ama ni dalili ya betri kufa?

View attachment 1642098
Kwanza ule ungaunga siyo Carbon. Hakuna Carbon ipo vile. Kama ilikuwa na rangi ni Copper Sulphate kama Ulikuwa mweupe ni Lead Sulphate.

Battery nyingi zikishaanza kuvuka timeline ya three years huwa zina tabia hiyo. Na ndio dalili ya Battery kuelekea kufa.

Kama battery yako haijavuka 3 years kuna uwezekano Battery yako inakuwa Overcharged au undercharged. Hayo mawili pia huwa yanapelekea kutokea kwa huo unga.

Tafuta mtu akague kama kuna overcharge au undercharge.

Au nicheck 0621 221 606.
 
Kwanza ule ungaunga siyo Carbon. Hakuna Carbon ipo vile. Kama ilikuwa na rangi ni Copper Sulphate kama Ulikuwa mweupe ni Lead Sulphate.

Battery nyingi zikishaanza kuvuka timeline ya three years huwa zina tabia hiyo. Na ndio dalili ya Battery kuelekea kufa.

Kama battery yako haijavuka 3 years kuna uwezekano Battery yako inakuwa Overcharged au undercharged. Hayo mawili pia huwa yanapelekea kutokea kwa huo unga.

Tafuta mtu akague kama kuna overcharge au undercharge.

Au nicheck 0621 221 606.

Inaelekea kufa au ni overcharging and undercharging ?
 
ok cocacola ni nzuri kwa kuondoa iyo carbon ila chanzo cha iyoo carbon itakua vifuniko vya kuongezea maji kwenye betri avikukazwa vizuri kimoja wapo au betri kuna mahali inavuja na kusababisha iyo carbon coz chanzo ni ayo maji ya betrii ndo yanasababish…...
 
Nunua dry cell battery, utatumia hata miaka mitatu bila tatizo
 
Nakubali..
Yangu ni Atlas N40 kutoka korea Nilinunua tarehe 7/11/2017 mpaka sasa ipo poa haijaanza kusumbua..
Shingapi ulinunua kaka, inazidi laki moja?
Gari yangu ni ndogo, Toyota 1290cc. 1KR Engine.
 
Back
Top Bottom