Maverick tz
New Member
- Dec 4, 2024
- 1
- 1
Napenda kujua namna ambayo mtu anaweza kutumia ili kudhibiti uharibikaji wa mayai pindi kuku anapokuwa anaatamia.
Pia kama kuku anataga mayai mengi kuliko yale anayoweza kuatamia ni mbinu gani unaweza kutumia ili kuhakikisha mayai hayo yanatotolewa?
Pia kama kuku anataga mayai mengi kuliko yale anayoweza kuatamia ni mbinu gani unaweza kutumia ili kuhakikisha mayai hayo yanatotolewa?